😂😂😂😂 Sijui watafanyaje...watazima internet yote. Kama walivyofanya wakati wa mauaji. Japo najiuliza waliopata hasara kampun hizo mabilioni wamefanyaje hakuna hata mmoja aliefungua kesiVPN imekuwa mkombozi wa wanyonge!
Napata picha siku zijazo...kila tovuti itakuwa built-in na VPN Ndani yake!... siku si nyingi.
Makampuni makubwa, yanayojitambua, HUWA HAYATUMII INTERNET YA NDANI YA NCHI HATA SIKU MOJA!.... Jaribu kuchunguza, huwa wanatumia satellite 🛰 Internet....😂😂😂😂 Sijui watafanyaje...watazima internet yote. Kama walivyofanya wakati wa mauaji. Japo najiuliza waliopata hasara kampun hizo mabilioni wamefanyaje hakuna hata mmoja aliefungua kesi
Acha waifunge wanaleta uchochezi wajinga wale kwani hujui BBC Swahili Inatumiwa na wakenya
USSR
The guilty are afraid!Najaribu kuperuzi wavuti wa BBC Swahili ila siwezi kuufikia, Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio ila baada ya kutumia vpn nimeweza kuufikia.
Swali kwa TCRA: Je mmefungia baada ya repoti ya BBC eye au?
Inatumika na wakenya kufumua vichwa vywa watanganyika kwa risasiAcha waifunge wanaleta uchochezi wajinga wale kwani hujui BBC Swahili Inatumiwa na wakenya
USSR
Dreamers vengeance!Acha waifunge wanaleta uchochezi wajinga wale kwani hujui BBC Swahili Inatumiwa na wakenya
USSR
Wakuitwa KUU Maana unastahili.Acha waifunge wanaleta uchochezi wajinga wale kwani hujui BBC Swahili Inatumiwa na wakenya
USSR
Kuuwa muuwe nyie afu mseme uchocheziAcha waifunge wanaleta uchochezi wajinga wale kwani hujui BBC Swahili Inatumiwa na wakenya
USSR
TCRA ni chombo cha kuficha maovu ya MamaSamia2025 .Najaribu kuperuzi wavuti wa BBC Swahili ila siwezi kuufikia, Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio ila baada ya kutumia vpn nimeweza kuufikia.
Swali kwa TCRA: Je mmefungia baada ya repoti ya BBC eye au?
USSR ni zaidi ya chokoKuuwa muuwe nyie afu mseme uchochezi
Unafirwa kumma wewe