Mkuu hakika umenipa hamasa...sasa naanza rasmi maana ninaekari 20 tabora na zipo ndani ya manispaa tena barabara ya lami..nimeshajenga nyumba ya mlinzi imeisha na nimeweka solar tayari nilikua nimeanza na vibanda vya ufugaji na mizinga michache ya nyuki..sasa ntaweka mizinga 300 na kuna siku niliwapigia Balton wakanipa bei zao nikaona kama ni ghali kumbe inalipa sana maana walinambia wananipa greenhouse,madawa,simtank na mfumo mzima wa umwagiliaji ndani na nje ya greenhouse. Byebye umaskini
Hapo ushindwe mwenyewe kwani Maji unayo na Maji ndio changamoto inayowasimbua wengi. Cha msingi unachohitaji hapo ni elimu na pia ukiwa dar uje utembelee shamba darasa
mbona hata hujaitaja sasa hii aina ya mbegu?Bw. Ngamba umeuliza swali zuri sana, ni swali ambalo watu wengi wamekuwa wanapenda sana kufahamu. Kwa bahati ambayo sio poa wakulima wengi na wale ambao wana mpango wa kulima imekuwa vigumu kwao kupata info sahihi ntalijibu katika vipengele viwili
Mbegu hizi special kama Heirsloom, Corazon, Anna F1, Julia, Carson, Memoneta na n.k zina shelf life kubwa tu na zimeboreshwa kutoka katika nchi za ulaya zenye baridi na zilikuwa maalumu kwa ajili ya kupandea kwenye greenhouse. Sasa waafrika tunafoji na kuamua kuzitumia huku afrika ndio maana wakulima wengi wanalalamika zinawatesa zinashindwa kuvumilia hali ya joto ndio maana zinalimwa Arusha na Nairobi angalau penye kaubaridi
The kick ni kuwa hazikubali nje ya greenhouse yaani kulima kilimo cha wazi. Hii inanyima fursa kwa watu wasio na uwezo wa kifedha wa kujenga gh kushindwa kufanya kilimo cha kisasa na kufanya wakulima wa kawaida kubaki na zile mbegu za kawaida mfano Tengeru na Tanya
Mbegu ambayo mi nawashauri watu waitumia ndio ambayo mie naitumia. Hii imeboreshwa kutoka nchi ya ulaya ambayo iko karibu na bahari ya med. ambalo ni eneo lenye kiwango angalau cha joto. Baada ya hapo ililetwa afrika kusini kuboreshwa Zaidi. Pia ikajaribiwa ktk nchi za afrika ktk gh na kilimo cha wazi. Mbegu hii unaweza ilima ndani ya gh na kilimo cha wazi km ilivyo kwenye hiyo video yangu hapo juu na inavumilia ukame na jotohivyo ni nzuri kwa mikoa yote ya tz
Yes wanaweza ila wale wa arusha 0719222722Mkuu biashara 2000 ukienda pale balton wanaweza kukuzia vifaa vya greenhouse kama zile UV plastic, drop irrigation... bila ya kutaka wao wa kujengee? yaaan ukitaka kununua vifaa tu wanaruhusu bila wao kuja kukujengea?
Mkuu biashara 2000 zile. mbegu za anna f1 zinakubali nchini kwetu hapa? au ni mbegu gani ya hybrid inayokubali Tanzania kwenye greenhouse?
Mkuu habariHabari za asubuhi.
Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya kitaalamu ya kutumia gharama kidogo ila mavuno mengi na makubwa wanaweza ku click hiyo video hapo chini na kuangalia.
0758 308193