Tottenham Hotspurs Thread

Pia inaonesha Ndombele anaweza kwenda Inter. Wanamhitaji. Kama wakitupatia Milan Skrinial na sisi tukawa na uwezo wa kutafuta mbadala wake (Ndombele) sioni tabu. Wamchukue tu.



Screenshot_20200731-205237.jpg
 
Ligi ndiyo hiyo imeisha na angalau tutacheza kombe ambalo Jose kasema kufuzu maana yake kulibeba tayari! Kacheza mara mbili na kalibeba mara hizo. Kwa maneno yake mwenyewe kasema siyo mbaya kushiriki kwa mara ya 3 na kulibeba kwa mara hiyo.

Siyo mbaya. Kipi bora? Kushiriki UCL na kuishia fainali au kushiriki UEL na kulibeba? Mafanikio hupimwa kwa vikombe na si idadi ya fainali ulizocheza.

Natarajia kutakuwa na sura mpya dirisha hili la msimu wa korona. Binafsi nadhani kuna maeneo yafuatayo yanahitaji uwekezaji.

1. CD. Hapa tuna Dier, Sanchez, Tanganga, Toby na Foyth. Super Jan anaondoka. Pia inaonesha kocha hajamkubali dogo Foyth. Eric Dier kasaini mkataba mpya kwa sharti la kucheza kama CB. Napendekeza anunuliwe CB mnyumbulifu wa kuimarisha safu ya ulinzi.

2. DM. Hapa tayari dogo Oliver Skipp kasaini mkataba wa kudumu mpaka 2024. Hata hivyo bado tunahitaji holding midfielder wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Wanyama/Dier. Hapa nadhani apatikane mkongwe wakati dogo Skipp anaendelezwa mdogo mdogo.

Kwenye DM's wanyumbulifu nadhani Sissoko angeuzwa tu. Nafasi yake ichukuliwe na Sergej Milinkovic Savic wa Lazio. Akawaongezee nguvu Ndombele, Gedson, Winks, na Lo Celso.

3. RW. Hapo Lamela atoswe tupate ingizo jipya umri na calibre ya Steven Bergwijn. Hivyo tutakuwa na Sonny/Bergwijn kwenye LW. RW tutakuwa na Moura na hilo ingizo jipya.

3. No. 10. Hapa kwenye namba 10 tunaye Lo Celso tayari ambaye kimsingi ndiye mbadala wa Eriksen. Wasiwasi wangu ni "The Dele Alli problem" kama anavyosemaga Mourinho. Dele hawezi mbenchi Lo Celso nyuma ya ST. Dele kukaa benchi kutapelekea chokochoko kutoka kwa English media. Ningekuwa Mourinho ningemuuza tu na pesa hiyo plus ile ya Lamela ningenunulia winger mzuri wa kulia.

4. FB. Suala la full backs liko wazi. Ssengnon hawezi kuwa full back karibuni. Anaweza zaidi kama wingback na Mourinho angependa full back. Hivyo ni ama auzwe Ben Davies au dogo C
Sess. Suala la kuleta mabeki wapya kulia na kushoto ni la lazima hslihitaji mjadala.

5. ST. Hapa itategemea na ikiwa Kane ataondoka au laa. Nimesikia tunamnyatia Zaniolo wa AS Roma japo kocha wao kakanusha.

Ngoja tusubiri tuone.
Ni furaha tu kwa shabiki wa Spurs. Usajili umepangiliwa kweli. Sasa suala la FB ni dhahili linaenda kupewa majibu. Serge Aurier a. k. a uncle kidevu anatakiwa na Milan. Tunamshukuru kwa huduma zake ila aende tu kwa maslahi ya pande zote mbili.

Screenshot_20200801-214251.jpg
 
Hapo sijatafsiri mafanikio kama mapato ambayo klabu imeingiza. Kama shabiki, mafanikio ni kile kinachovunwa kutoka uwanjani, vikombe. Kwa shabiki wa Spurs ambayo ina kikombe kimoja tu cha kombe la ligi kwa miaka 20 iliyopita ni aheri timu ishiriki kikombe kisicho na ushindani mkubwa na ikakibeba kuliko kwenda michuano migumu isiyoshindika kirahisi (assumption ni kwamba hawatafanya squad overhaul dirisha hili hivyo huenda wasiwe na kikosi kilichoshiba).

Europa Cup ni inferior cup.

Ukitafuta malengo ya timu zote kubwa utakuta ni kucheza UEFA ila siyo kuchukua Europa.

Jiulize swali, kwa nini bingwa apate ticket ya kushiriki UEFA badala ya Europa alilochukua?
 
Ligi ndiyo hiyo imeisha na angalau tutacheza kombe ambalo Jose kasema kufuzu maana yake kulibeba tayari! Kacheza mara mbili na kalibeba mara hizo. Kwa maneno yake mwenyewe kasema siyo mbaya kushiriki kwa mara ya 3 na kulibeba kwa mara hiyo.

Siyo mbaya. Kipi bora? Kushiriki UCL na kuishia fainali au kushiriki UEL na kulibeba? Mafanikio hupimwa kwa vikombe na si idadi ya fainali ulizocheza.

Natarajia kutakuwa na sura mpya dirisha hili la msimu wa korona. Binafsi nadhani kuna maeneo yafuatayo yanahitaji uwekezaji.

1. CD. Hapa tuna Dier, Sanchez, Tanganga, Toby na Foyth. Super Jan anaondoka. Pia inaonesha kocha hajamkubali dogo Foyth. Eric Dier kasaini mkataba mpya kwa sharti la kucheza kama CB. Napendekeza anunuliwe CB mnyumbulifu wa kuimarisha safu ya ulinzi.

2. DM. Hapa tayari dogo Oliver Skipp kasaini mkataba wa kudumu mpaka 2024. Hata hivyo bado tunahitaji holding midfielder wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Wanyama/Dier. Hapa nadhani apatikane mkongwe wakati dogo Skipp anaendelezwa mdogo mdogo.

Kwenye DM's wanyumbulifu nadhani Sissoko angeuzwa tu. Nafasi yake ichukuliwe na Sergej Milinkovic Savic wa Lazio. Akawaongezee nguvu Ndombele, Gedson, Winks, na Lo Celso.

3. RW. Hapo Lamela atoswe tupate ingizo jipya umri na calibre ya Steven Bergwijn. Hivyo tutakuwa na Sonny/Bergwijn kwenye LW. RW tutakuwa na Moura na hilo ingizo jipya.

3. No. 10. Hapa kwenye namba 10 tunaye Lo Celso tayari ambaye kimsingi ndiye mbadala wa Eriksen. Wasiwasi wangu ni "The Dele Alli problem" kama anavyosemaga Mourinho. Dele hawezi mbenchi Lo Celso nyuma ya ST. Dele kukaa benchi kutapelekea chokochoko kutoka kwa English media. Ningekuwa Mourinho ningemuuza tu na pesa hiyo plus ile ya Lamela ningenunulia winger mzuri wa kulia.

4. FB. Suala la full backs liko wazi. Ssengnon hawezi kuwa full back karibuni. Anaweza zaidi kama wingback na Mourinho angependa full back. Hivyo ni ama auzwe Ben Davies au dogo C
Sess. Suala la kuleta mabeki wapya kulia na kushoto ni la lazima hslihitaji mjadala.

5. ST. Hapa itategemea na ikiwa Kane ataondoka au laa. Nimesikia tunamnyatia Zaniolo wa AS Roma japo kocha wao kakanusha.

Ngoja tusubiri tuone.
Hatimaye suala la holding midfielder limepatiwa ufumbuzi na sasa timu ina uhakika wa kukaba inapocheza.
Screenshot_20200812-071942.jpg
IMG_20200812_071904.jpg
 
Usajili wa hii timu bado haujaeleweka, msimu ujao nadhani timu itakuwa inashiriki ila si kushindana.
Usajili unaenda poa kwa kuzingatia madhara ya covid 19 ambapo inasemekana timu itapoteza takriban £200m. Hivyo ni vema kutumia kwa tahadhari. Kununua wachezaji wazuri lakini ambao ni cheap bargains.

Mfano. Kutatua tatizo la kiungo ya ukabaji timu isingeweza kusajili mchezaji kama Ngolo Kante au Kasemiro. Lakini ikiwa wamempata want-away wa Southampton (Hojbjerg) kwa £3m + Kyle Walker Peters (£12m), huo ni usajili mzuri kuliko hata Chilwell kwa £50m.

Pia angalia tunamsajili Matt Doherty kwa £12m + add ons zisizozidi £5m. Huyu ndiye full back wa pili kwa kutengeneza nafasi ndani ya epl kwa misimu miwili iliyopita. Ni upgrade nzuri sana ya Serge Aurier kwenye namba 2.

Mkakati wa Levy kwenye dirisha hili ni one out one in. Ili ununue, lazima uuze. Naiona Spurs ikiwa mshindani wa ubingwa msimu ujao.


Washindani wa ubingwa msimu ujao:

Liverpool x City x Chelsea x Spurs.


Washindani top six finish:

United, Arsenal, Wolves, Leicester, Everton.
 
Man Utd ana kikosi kizuri kwa sasa na huenda akakiimarisha zaidi, wana nafasi ya kufanya vizuri labda mwalimu azengue kwenye mbinu, Arsenal nao wameshafanya usajili mzuri na bado hawajatosheka. Kiukweli lolote linaweza kutokea.
Usajili unaenda poa kwa kuzingatia madhara ya covid 19 ambapo inasemekana timu itapoteza takriban £200m. Hivyo ni vema kutumia kwa tahadhari. Kununua wachezaji wazuri lakini ambao ni cheap bargains.

Mfano. Kutatua tatizo la kiungo ya ukabaji timu isingeweza kusajili mchezaji kama Ngolo Kante au Kasemiro. Lakini ikiwa wamempata want-away wa Southampton (Hojbjerg) kwa £3m + Kyle Walker Peters (£12m), huo ni usajili mzuri kuliko hata Chilwell kwa £50m.

Pia angalia tunamsajili Matt Doherty kwa £12m + add ons zisizozidi £5m. Huyu ndiye full back wa pili kwa kutengeneza nafasi ndani ya epl kwa misimu miwili iliyopita. Ni upgrade nzuri sana ya Serge Aurier kwenye namba 2.

Mkakati wa Levy kwenye dirisha hili ni one out one in. Ili ununue, lazima uuze. Naiona Spurs ikiwa mshindani wa ubingwa msimu ujao.


Washindani wa ubingwa msimu ujao:

Liverpool x City x Chelsea x Spurs.


Washindani top six finish:

United, Arsenal, Wolves, Leicester, Everton.
 
Timu inamsajili Doherty. Halafu tweets za Doherty kusema yeye ni shabiki wa Arsenal zinaibuka.

Hii timu mara ya mwisho kuchukua kombe lini?
 
Timu inamsajili Doherty. Halafu tweets za Doherty kusema yeye ni shabiki wa Arsenal zinaibuka.

Hii timu mara ya mwisho kuchukua kombe lini?
Cha ajabu nini hapo. Arsenal ni timu anayoipenda tangu utotoni. Kasajiliwa na mahasimu wao Spurs makaburi yakufukuliwa. Kazidelete tweets hadharani na sasa ni Spurs 100%. Kama unadhani kila mchezaji duniani anachezea timu yake ya moyoni basi kuna shida kubwa.




 
Cha ajabu nini hapo. Arsenal ni timu anayoipenda tangu utotoni. Kasajiliwa na mahasimu wao Spurs makaburi yakufukuliwa. Kazidelete tweets hadharani na sasa ni Spurs 100%. Kama unadhani kila mchezaji duniani anachezea timu yake ya moyoni basi kuna shida kubwa.





Mara ya mwisho kuchukua kombe lini?
 
Cha ajabu nini hapo. Arsenal ni timu anayoipenda tangu utotoni. Kasajiliwa na mahasimu wao Spurs makaburi yakufukuliwa. Kazidelete tweets hadharani na sasa ni Spurs 100%. Kama unadhani kila mchezaji duniani anachezea timu yake ya moyoni basi kuna shida kubwa.





Mmejikausha ili tuwasahau?
 
Back
Top Bottom