Totozi za mwenge.....aiseee


mh kupaka rangi yataka ujuzi.. Utaweza? Mi napenda huwa kama wanakufanyia massage ya vidole... Mpaka raaaaha..
 
niko orlando sasa hivi arifu....

Toka zako hapa...jana umekesha ukiangalia slam dunk contest! Tena uliandika kwa maneno yako mwenyewe kule kwenye michezo.

Endelea kula vumbi na kung'atwa na mimbu! Acha wenzio tule bata Unyamwezini.
 
Toka zako hapa...jana umekesha ukiangalia slam dunk contest! Tena uliandika kwa maneno yako mwenyewe kule kwenye michezo.

Endelea kula vumbi na kung'atwa na mimbu! Acha wenzio tule bata Unyamwezini.
majuu hamna totozi za mwenge.....
 
majuu hamna totozi za mwenge.....

Ni kweli hamna! Hamna totoz zenye vikwapa! Hamna totoz zenye kula vumbi mwanzo mwisho! Hamna totoz zinazoishi majuu kwa kupitia DSTV kwa sababu ziko majuu tayari!

Kwa kifupi, huwezi kulinganisha Mwenge na majuu.
 
kwa hiyo hata dada zako,shangazi,mama zako wadogo wote wananuka vikwapa? acha kauli mbaya arifu....BTW snow imepungua
Ni kweli hamna! Hamna totoz zenye vikwapa! Hamna totoz zenye kula vumbi mwanzo mwisho! Hamna totoz zinazoishi majuu kwa kupitia DSTV kwa sababu ziko majuu tayari!

Kwa kifupi, huwezi kulinganisha Mwenge na majuu.
 
kwa hiyo hata dada zako,shangazi,mama zako wadogo wote wananuka vikwapa? acha kauli mbaya arifu....BTW snow imepungua

Kwa bahati nzuri, dada zangu, shangazi zangu, na mama zangu wadogo nawatumia mahela kibao. Na hawaishi Mwenge. Hayo mahela ninayowatumia moja ya masharti yake ni kuhakikisha wananunua bidhaa za usafi wa mwili zikiwemo anti-perspirant deodorants na advanced listerine with tartar protection.
 

acha ushamba we boyo,kwnda mtoni isiwe tija ya kuw2kana dada zet na mama z2.ndo maana wanawaitaga manyani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…