Totozi za mwenge.....aiseee

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,738
Aiseeee wakuu pale Mwenge mbona bruuuudani sana....mida ya majioni jioni hivi saa kumi mpaka saa 2usiku wewe katika katiza pale mwenge stand mamaaaa kuna totozi balaa....sijui wanatokaga na kwenda wapi.....

afu sasa timing nyingine leo si ijumaa? basi kesho j'mosi wewe weka makazi kabisa pale...aisee wale watoto sijui wamejiumba wenyewe....yaani unakutana na toto limeumbika kweli kweli alafu network available.....unakuta totozi wezere lipo,sura weweee,shape mamaaaa aisee alafu sasa na zile nguzo za buku 2 za pale mwenge zinawakaa vema sana.....
 
Wengi ni wanafunzi wa pale mlimani.
 
Yo yo Totooz zenyewe ndiyo kama hiyo au unatania tu?Bibi kakomaa kama ugali wa muhogo duh!!!
 
YOYO thread yako ya ukweli sana ulivyozifia hizo totoz za mwenge ila ulivyorusha hii picha basi nimechoka mwenyewe
arifu yule mchizi pale juu kataka picha.....si unajua watu humu kila thread wanataka picha nimemuweka hiyo aridhike afu tuendelee....BTW zile totozi si mchezo
 
arifu yule mchizi pale juu kataka picha.....si unajua watu humu kila thread wanataka picha nimemuweka hiyo aridhike afu tuendelee....BTW zile totozi si mchezo

Hapo sina swali nimekubali toto za ukweli hizo,ataebisha mbishi tu,
 
kweli mkuu. totoz za mwenge si mchezo
 
kweli mwenge kuna twiga wa ukweli
 
Pale kuna totoz ukweli halafu pale si unajua kuna wale waosha miguu na wapaka rangi...nguo bwerere pale....totoz zinatoka ustawi na UD...Zinapita pale...

Pale wanatumia kama hub kwenda sehemu zingine za mji na kupata mahitaji yao...
 
Kwa picha hizi, no comment
Wanawake wa aina hii ni sumu kwangu

Napenda vilaini laini, nakula na mifupa kama kuku wa kizungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…