Total Tanzania Ltd

Total Tanzania Ltd

tycoonff

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
928
Reaction score
1,311
Wakuu hawa watu wameita watu kwa ajili ya kuanza kazi kwa wale waliofanya interview nafas za Graduate program, naamini kuna watu wenye uwezo mkubwa humu jukwaani wa kumsaidia mtu kufanya uamzi....anaejua uzuri na ubaya wao tafadhari aniambie.
 
Wakuu hawa watu wameita watu kwa ajili ya kuanza kazi kwa wale waliofanya interview nafas za Graduate program, naamini kuna watu wenye uwezo mkubwa humu jukwaani wa kumsaidia mtu kufanya uamzi....anaejua uzuri na ubaya wao tafadhari aniambie.
hiyo graduate progam ni kwa fani gani..?
una ajira nyingine..?
umesoma kozi. gani.?
una mpango wa kufanya kazi ya aina gani..?

unataka kufanya uamuzi una ajira nyingine..?
ndio nimeanza kukusaidia..hapo..
 
aende total. ata grow faster. niliwahi fanya nao sector ya finance kupitia graduate programme kule mnazi mmoja. ila wanakufanya busy mpaka unajua kweli upo kazini
 
aende total. ata grow faster. niliwahi fanya nao sector ya finance kupitia graduate programme kule mnazi mmoja. ila wanakufanya busy mpaka unajua kweli upo kazini

Ahaaa sawa mkuu...wamemwambia wanaweza mpa ajira moja kwa moja kama ataperform vizuri kwa icho kipind, na kwamba wanaleta products mpya za (solar energy) ndo atadeal nazo sokon...vipi wanalipa fresh? Na vipi kuhusu ww ulipomaliza walikupa ajira au?
 
Ahaaa sawa mkuu...wamemwambia wanaweza mpa ajira moja kwa moja kama ataperform vizuri kwa icho kipind, na kwamba wanaleta products mpya za (solar energy) ndo atadeal nazo sokon...vipi wanalipa fresh? Na vipi kuhusu ww ulipomaliza walikupa ajira au?
wanakupa kazi mkuu but ni baada ya miezi sita . Kwa graduate ilikuwaga 500000 ukiwa kwenye programme but ukimaliza gross ilikuwa kama 800000+
 
wanakupa kazi mkuu but ni baada ya miezi sita . Kwa graduate ilikuwaga 500000 ukiwa kwenye programme but ukimaliza gross ilikuwa kama 800000+

Basi sawa kiongozi...shukran kwa mawazo yako mazuri.
 
Back
Top Bottom