dah! shukurani sana yaani umenikumbusha mbaaali sana.<o😛></o😛>
Thanks mkubwa kwa kunikumbusha enzi hizo nilikuwa pale 2000 to 2002. Yaani umetudondoshea picha zote za kila Angle ya Tosa ukiondoa Mashamba ya nyanya na mahindi pia madarasa ya EGM na kwa masista si unakumbuaka banzi mkuu. Kupitia Tosa unajifunza mengi sana nitaenda pale kuvisit one day. My school i miss you so much.
Du! Asante sana kwa kumbukumbu nzuri. Nilikuwa hapo wakati wa ule mgomo uliomuondoa marehemu "Dudu". Walikuwepo akina Boyd "Mnazareti", Biga Kipemba, Joseph Paschal, Patrick Rwehumbiza, Kimti, Japhet Makau, Bruce Mwile, Msasalaga na wengineo wengi.
Bonn shule gani?Shule la kimaskini mnapoteza muda kulipromoti. Na sisi tuliosoma Shaaban Robert kisha Bonn (Germany) tukiweka picha zetu? Mbaaffffff
Ukitafuta za Idete usisahahu za Banawanu kwenye miwa na kule kwenye mapera (Atom)Ngoja nizitafute za idete