Top 5 ya nyimbo za kumuombeleza Magufuli

Mbwichichi

JF-Expert Member
Dec 19, 2018
267
1,331
Hizi nyimbo tano ndio zimekua bora kabisa kwangu zimetufariji sana kipindi cha maombolezo ya mpendwa wetu shujaa wa Afrika,jembe John Pombe Magufuli.

1.Bye Bye-Aslay

hii kali sana anavyoanza na ile mwana chatoo ehhh,mwana chato eeehhhh

wasalimie nyerere na karume,sefu

kufa usifiwe,ishi uzomeweeeeee

2.Ahsante Magufuli-Konde Gang

hawa wamepiga songi moja kali sana linafariji ukisikiliza machozi yanalenga unaona kama magu atafufuka asikie ahsante anazopewa

hongera kwa harmonize

3.Lala Magufuli-Diamond Platnumz ft Artist

hawa akina chege na chawa wote wa WCB wamepiga songi ila wamepigwa KO na harmonize,ingawa songi yao nayo kali hasa verse ya darasa na chorus ya Diamond ile

wametufariji sana

4.Magufuli-Peter Msechu

huyu bwana suala la msiba ni kama alilichukulia personally,kapiga ile remix ya wimbo wanapigaga misibani wa kinigeria ule bwana kauchapa kimagufuli umetoka vizuri sana

zile vocal zake kapanda na kushuka vizuri sana jamaa mwili wake na sauti havifanani kabisa

jamaa ni clone ya mzee John Komba

5.Kifo-RayVanny

kijana kaua sana na ile sauti yake ya kulia lia ni kama alikua anasubiri tu msiba ufike tujue kipaji chake

Na wewe weka top 5 yako au ongeza hapo

Bado tunaendeleza maombolezo ya siku 21,leo ni siku ya 16 hivi....
 
Mbona haziishi? Wangehesabu kama wahesabuvyo miaka au miezi ya mfungwa gerezani. Ungekuta zimeshaisha. Maisha ni lazima yaendeleee. Tunafurahi Rais mpya.
 
"Kafanyeni kazi" hayati alisema hayo,.hebu tuachane na mambo ya nyimbo sijui masanamu,tumuenzi kwa vitendo vya kufanya kazi....
 
mi nilianza kuupenda KIFO wa Rayvanny ila baada ya kuusikiliza vizuri wimbo wa Msechu nimejikuta ndo umekuwa wimbo wangu pendwa
 
Hizi nyimbo tano ndio zimekua bora kabisa kwangu zimetufariji sana kipindi cha maombolezo ya mpendwa wetu shujaa wa Afrika,jembe John Pombe Magufuli.

1.Bye Bye-Aslay

hii kali sana anavyoanza na ile mwana chatoo ehhh,mwana chato eeehhhh

wasalimie nyerere na karume,sefu

kufa usifiwe,ishi uzomeweeeeee

2.Ahsante Magufuli-Konde Gang

hawa wamepiga songi moja kali sana linafariji ukisikiliza machozi yanalenga unaona kama magu atafufuka asikie ahsante anazopewa

hongera kwa harmonize

3.Lala Magufuli-Diamond Platnumz ft Artist

hawa akina chege na chawa wote wa WCB wamepiga songi ila wamepigwa KO na harmonize,ingawa songi yao nayo kali hasa verse ya darasa na chorus ya Diamond ile

wametufariji sana

4.Magufuli-Peter Msechu

huyu bwana suala la msiba ni kama alilichukulia personally,kapiga ile remix ya wimbo wanapigaga misibani wa kinigeria ule bwana kauchapa kimagufuli umetoka vizuri sana

zile vocal zake kapanda na kushuka vizuri sana jamaa mwili wake na sauti havifanani kabisa

jamaa ni clone ya mzee John Komba

5.Kifo-RayVanny

kijana kaua sana na ile sauti yake ya kulia lia ni kama alikua anasubiri tu msiba ufike tujue kipaji chake

Na wewe weka top 5 yako au ongeza hapo

Bado tunaendeleza maombolezo ya siku 21,leo ni siku ya 16 hivi....
Mi nazani namba 1 ni ile tumeuona,mkono wako bwana..
 
Kuna ule wimbo unaimba hivi..
".....Nenda shujaa nenda nendaaa, maisha yako ni ushuhuda tunaoishi"
Mwenye kuufahamu anisaidie link please...
 
Umekosea kumweka mzee msechu kwenye hiyo namba 4, ilifaa awe namba moja kwa nyimbo zake zote mbili.
 
Tangu yule jamaa anyolewe na Bi mdashi pale tipiei, mzuka wa nyimbo za maombolezo hazinamzuka tena maana inaonyesha zinakaunafiki tu na hazina uhalisia.

RIP JEIPIEMU
 
Hizi nyimbo tano ndio zimekua bora kabisa kwangu zimetufariji sana kipindi cha maombolezo ya mpendwa wetu shujaa wa Afrika,jembe John Pombe Magufuli.

1.Bye Bye-Aslay

hii kali sana anavyoanza na ile mwana chatoo ehhh,mwana chato eeehhhh

wasalimie nyerere na karume,sefu

kufa usifiwe,ishi uzomeweeeeee

2.Ahsante Magufuli-Konde Gang

hawa wamepiga songi moja kali sana linafariji ukisikiliza machozi yanalenga unaona kama magu atafufuka asikie ahsante anazopewa

hongera kwa harmonize

3.Lala Magufuli-Diamond Platnumz ft Artist

hawa akina chege na chawa wote wa WCB wamepiga songi ila wamepigwa KO na harmonize,ingawa songi yao nayo kali hasa verse ya darasa na chorus ya Diamond ile

wametufariji sana

4.Magufuli-Peter Msechu

huyu bwana suala la msiba ni kama alilichukulia personally,kapiga ile remix ya wimbo wanapigaga misibani wa kinigeria ule bwana kauchapa kimagufuli umetoka vizuri sana

zile vocal zake kapanda na kushuka vizuri sana jamaa mwili wake na sauti havifanani kabisa

jamaa ni clone ya mzee John Komba

5.Kifo-RayVanny

kijana kaua sana na ile sauti yake ya kulia lia ni kama alikua anasubiri tu msiba ufike tujue kipaji chake

Na wewe weka top 5 yako au ongeza hapo

Bado tunaendeleza maombolezo ya siku 21,leo ni siku ya 16 hivi....
Ni kwamba hujamsikia zuchu kwenye hilo song namba 3.

Kashuka kama vle taarab fln hv plus majonzi daaah kanikosha sana yule binti kwenye verse yake. Darassa pia kapita vzr then rayvany na nduguze wanafuatia


Japo mwimbo wa msechu kama vle upo overrated sana.

Pia harmonize huwa anapatia kwenye nyimbo za majonzi tu, angalia nyimbo zake zote kali ni za majonzi au lawama so haishangazi kupatia sana kwenye nyimbo yao ya maombolezo
 
Back
Top Bottom