Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 267
- 1,331
Hizi nyimbo tano ndio zimekua bora kabisa kwangu zimetufariji sana kipindi cha maombolezo ya mpendwa wetu shujaa wa Afrika,jembe John Pombe Magufuli.
1.Bye Bye-Aslay
hii kali sana anavyoanza na ile mwana chatoo ehhh,mwana chato eeehhhh
wasalimie nyerere na karume,sefu
kufa usifiwe,ishi uzomeweeeeee
2.Ahsante Magufuli-Konde Gang
hawa wamepiga songi moja kali sana linafariji ukisikiliza machozi yanalenga unaona kama magu atafufuka asikie ahsante anazopewa
hongera kwa harmonize
3.Lala Magufuli-Diamond Platnumz ft Artist
hawa akina chege na chawa wote wa WCB wamepiga songi ila wamepigwa KO na harmonize,ingawa songi yao nayo kali hasa verse ya darasa na chorus ya Diamond ile
wametufariji sana
4.Magufuli-Peter Msechu
huyu bwana suala la msiba ni kama alilichukulia personally,kapiga ile remix ya wimbo wanapigaga misibani wa kinigeria ule bwana kauchapa kimagufuli umetoka vizuri sana
zile vocal zake kapanda na kushuka vizuri sana jamaa mwili wake na sauti havifanani kabisa
jamaa ni clone ya mzee John Komba
5.Kifo-RayVanny
kijana kaua sana na ile sauti yake ya kulia lia ni kama alikua anasubiri tu msiba ufike tujue kipaji chake
Na wewe weka top 5 yako au ongeza hapo
Bado tunaendeleza maombolezo ya siku 21,leo ni siku ya 16 hivi....
1.Bye Bye-Aslay
hii kali sana anavyoanza na ile mwana chatoo ehhh,mwana chato eeehhhh
wasalimie nyerere na karume,sefu
kufa usifiwe,ishi uzomeweeeeee
2.Ahsante Magufuli-Konde Gang
hawa wamepiga songi moja kali sana linafariji ukisikiliza machozi yanalenga unaona kama magu atafufuka asikie ahsante anazopewa
hongera kwa harmonize
3.Lala Magufuli-Diamond Platnumz ft Artist
hawa akina chege na chawa wote wa WCB wamepiga songi ila wamepigwa KO na harmonize,ingawa songi yao nayo kali hasa verse ya darasa na chorus ya Diamond ile
wametufariji sana
4.Magufuli-Peter Msechu
huyu bwana suala la msiba ni kama alilichukulia personally,kapiga ile remix ya wimbo wanapigaga misibani wa kinigeria ule bwana kauchapa kimagufuli umetoka vizuri sana
zile vocal zake kapanda na kushuka vizuri sana jamaa mwili wake na sauti havifanani kabisa
jamaa ni clone ya mzee John Komba
5.Kifo-RayVanny
kijana kaua sana na ile sauti yake ya kulia lia ni kama alikua anasubiri tu msiba ufike tujue kipaji chake
Na wewe weka top 5 yako au ongeza hapo
Bado tunaendeleza maombolezo ya siku 21,leo ni siku ya 16 hivi....