Kweli na wapo walio nyuma yetu hao nao tatizo lao nini kwa ssbabu hawaongei kiswahili.Tz tuko nyuma sana kwa karibu kila kitu.
:_Viwanda hatuna, Siasa kandamizi, Utalii, Miundombinu, Elimu yetu si shindani etc
Sisi labda uswahili
Kweli na wapo walio nyuma yetu hao nao tatizo lao nini kwa ssbabu hawaongei kiswahili.Tz tuko nyuma sana kwa karibu kila kitu.
:_Viwanda hatuna, Siasa kandamizi, Utalii, Miundombinu, Elimu yetu si shindani etc
Sisi labda uswahili
Nimeboresha maisha ya raia wangu, na uchumi unapaa kwa spidi 4gFamous wamechukulia.vigezo gan??
Rwanda kuwa juu ya tanzania
Kenya kuwa juu ya nigeria
Kama unaarufuru nadhan somalia wangekuwa namba3 al shababu kila kona imesikika
Sina maana ya kiswahili lugha nina maana ya uswahili tabia ya kupenda shortcuts na kutokuwa mwaminifu.Kweli na wapo walio nyuma yetu hao nao tatizo lao nini kwa ssbabu hawaongei kiswahili.
Kenya wamekaaje juu ya Tz ....ama ni kwa sababu ya kung'ang'ania mlima Kilimanjaro?
Ndio hivyo hao tuliowazidi wanasumbuliwa na nini?Sina maana ya kiswahili lugha nina maana ya uswahili tabia ya kupenda shortcuts na kutokuwa mwaminifu.
umesahau obama anajulikana kutoka kenya..umesahau kenya's world known athletes and nairobi national park the only park in a city...umesahau the terror attacks on kenyan soil...Kenya wamekaaje juu ya Tz ....ama ni kwa sababu ya kung'ang'ania mlima Kilimanjaro?
yeah egypt is world famous...
SHOULD BE THE FIRST COUNTRY.
Naunga mkono hoja.
SHOULD BE THE FIRST COUNTRY.
it is hard to choose between egypt and S.A since south africa hosted the world cup but Egypt is known more than any other african countryNaunga mkono hoja.
umeongea.point.mkuuuMwalimu Nyerere alisema ukitaka media za nje zikujadili wewe anzisha vita.
Binafsi nafikiri nchi maarufu zaidi ni zile zenye machafuko kama Somalia, C.Africa, Nigeria n.k.
Egypt yafaa kua juu ya SA piaHuyo aliyesema officially ni officially kwake yeye.Sisi kama watanzania hatukubaliani kabisa.Aliyeleta hiyo list anapembuliwa pumba .
Mi naona misri ndio iko juu kuliko hiyo egypt mi ndio naisikia leo hivi iko bara gani vile hiyo egypt?Egypt yafaa kua juu ya SA pia
Hivi ni movie ngapi za Hollywood zimechezewa kenya? ukijibu hilo linganisha na nchi yakoKenya wamekaaje juu ya Tz ....ama ni kwa sababu ya kung'ang'ania mlima Kilimanjaro?
Well saidMwalimu Nyerere alisema ukitaka media za nje zikujadili wewe anzisha vita.
Binafsi nafikiri nchi maarufu zaidi ni zile zenye machafuko kama Somalia, C.Africa, Nigeria n.k.
Indeed. ..I am so proud to be a Tanzanian!