Top 20 Countries for scientific output (Tanzania among of rising stars countries)

Did you know Kenya's GDP is more than that of Bulgaria Annael?
Kwikwikwikwikwi? Funga domo lako hilo sasa.
upload_2017-12-10_18-38-59.png


upload_2017-12-10_18-39-40.png
 
You cant make a comeback for that one afadhali unyamaze tu.
Soma vizuri mwenyewe hata hio picha ulioweka Tz imewekwa kwa category ya Countries with the highes % increase, na wala si countries with the most/highest citations.

Kama Tz haishindi Kenya kwa madaktari, elimu ya msingi,secondari na chuo kikuu, unatarajia vipi muishinde Kenya kwa research? Wacheni ndoto bana
Huna data wewe, unategemea taarifa toka media za Kenya, Tanzania produces biggest numbers of Doctors followed by Uganda, Kenya ipo number 3, kama unabisha lete data hapa kusupport kwamba Kenya ina madaktari wengi kushinda Tanzania, tukimaanisha idadi ya madaktari waliopo nchini
 
Kuna siku ntaifanya nchi yangu Tanzania iheshimike ntagundua vitu vya kufanya nchi hii iheshimike trust me huu Uzi utafufuliwa siku ntakayochukua noble prize
 
Hebu soma hapa vizuri na ulinganishe ulichopost.
Hapa tunaongea output ndugu

Top 20 Countries for scientific output (Tanzania among of rising stars countries)
So in short you're admitting to not having read what you just posted. Uliona tu jina Tanzania and posted away
 
Huna data wewe, unategemea taarifa toka media za Kenya, Tanzania produces biggest numbers of Doctors followed by Uganda, Kenya ipo number 3, kama unabisha lete data hapa kusupport kwamba Kenya ina madaktari wengi kushinda Tanzania, tukimaanisha idadi ya madaktari waliopo nchini
Juu wewe umeleta data na links saying Kenya number 3? what you posted above doesn't speak about Tz or Ug

Do 1st what you ask others to do
 
Kuna siku ntaifanya nchi yangu Tanzania iheshimike ntagundua vitu vya kufanya nchi hii iheshimike trust me huu Uzi utafufuliwa siku ntakayochukua noble prize
Your dreams are valid brother, you're the people this world needs.

Just promise to do and not just dream about doing coz that's the problem we all have
 
So in short you're admitting to not having read what you just posted. Uliona tu jina Tanzania and posted away
Utahangaika sana na TZ. Hapo hakuna Kenya rafiki. Hata kwa tochi haionekani.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Yap! you sure didn't read a darn thing. Is it because you can't read or you're just not concerned
Do you think so. But Nairobi is not in the list. Kwikwikwikwi....
 
Juu wewe umeleta data na links saying Kenya number 3? what you posted above doesn't speak about Tz or Ug

Do 1st what you ask others to do
Kenya producing 600 doctors a year but counties not hiring - survey
Yeye aliyeanza kusema ndiyo ilibidi aanze kuleta data, atajibiwaje kwa data kama yeye ameleta maneno matupu, mnataka sisi ndiyo tuwatafutie data, hamna akili kabisa. Sasa kwa taarifa yako Tanzania produces nearly double of that of yours 1000 - 1200 per year
 
Kenya producing 600 doctors a year but counties not hiring - survey
Yeye aliyeanza kusema ndiyo ilibidi aanze kuleta data, atajibiwaje kwa data kama yeye ameleta maneno matupu, mnataka sisi ndiyo tuwatafutie data, hamna akili kabisa. Sasa kwa taarifa yako Tanzania produces nearly double of that of yours 1000 - 1200 per year
Ungemsaidia tu kidogo maana hawa wenzetu tangu wafundishwe kwao kuwa Tanzania iko nyuma yao kila kitu hawaelewi

Mkakati maalum muhimu ajira za madaktari nchini
Uwezo mdogo wa serikali kibajeti ni kikwazo kama alivyoeleza Waziri Ummy kwamba uwezo wa kuajiri kwa mwaka katika sekta ya afya ni wataalamu 400, ingawa wahitimu katika vyuo vikuu ni 1,000 kila mwaka.
 
Ungemsaidia tu kidogo maana hawa wenzetu tangu wafundishwe kwao kuwa Tanzania iko nyuma yao kila kitu hawaelewi

Mkakati maalum muhimu ajira za madaktari nchini
Uwezo mdogo wa serikali kibajeti ni kikwazo kama alivyoeleza Waziri Ummy kwamba uwezo wa kuajiri kwa mwaka katika sekta ya afya ni wataalamu 400, ingawa wahitimu katika vyuo vikuu ni 1,000 kila mwaka.
Hawa jamaa hawana wanalojua zaidi ya sifa za kijinga, wanalinganisha Tanzania na takataka,
 
Kenya producing 600 doctors a year but counties not hiring - survey
Yeye aliyeanza kusema ndiyo ilibidi aanze kuleta data, atajibiwaje kwa data kama yeye ameleta maneno matupu, mnataka sisi ndiyo tuwatafutie data, hamna akili kabisa. Sasa kwa taarifa yako Tanzania produces nearly double of that of yours 1000 - 1200 per year
Oh, does it? 1000-1200, hmm. Well, the link below begs to defer, it puts your rate of minting doctors at 410/yr only against Kenya's 600/yr
http://www.who.int/workforcealliance/knowledge/resources/MLHWCountryCaseStudies_annex5_Tanzania.pdf

You got something to back up your 1000-1200?
 
Back
Top Bottom