Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,101
Hapo ni kutembea na charger tu
Mmh.kwahyo atachajia mikonon?? Au atembee na multi plug pia?????
Hapo ni kutembea na charger tu
Daaah...! sasa unavyomkatisha tamaa namna hiyo we unafaidi nini..??!
Sina shida na labda tu hujanielewa kutumia kigezo cha waliopost kwenye hii thread na hata kuwalenga watanzania kwa business ya software naona kama umepotea njia coz watanzania wenye access ya internet hawafiki hata 5%.mkuu huyu jamaa hajanikatisha tamaa, i've been doing my business for a long time n i've always had big successes huyu mtanzania moja hawezi kunipa presha, ana njaa tu kichwani akiona mtu anaweza kufanya something better ambacho hawezi anaona wivu.. badala ya kukomaa afike level flani anakaa anataka wote wawe level yake tu umaskini wa hela na umaskini wa akili..
Sina shida na labda tu hujanielewa kutumia kigezo cha waliopost kwenye hii thread na hata kuwalenga watanzania kwa business ya software naona kama umepotea njia coz watanzania wenye access ya internet hawafiki hata 5%.
ukitaka kutumia human resource TZ business iwe kwenye sekta kama za kilimo ambapo ndipo 80% ipo hope umenielewa sasa .
acha kutudanganya cm popular dar ni TECNO na SAMSUNG.,
hayo mengne n kujpa moyo tu
All the best.Pole sana... u know nothing about internet business, acha ambao tumeizoea tuendelee tunavojua, it doesnt work for u not for me... Endelea kulima na hiyo 80% yako.. ambao tuko kwenye technology tuache huku, u r very ignorant my friend, sasa unataka kila mtu afanye kilimo.. si ufanye wewe mwenyewe.. hujui kuna watu wanalala na a million every week ku-run just a website in free time, muda mwingine wanafanya kazi nyingine, bongo si kenya wala usa na siongelei speculations naongelea facts.. A software ambayo itanichukua mwezi kuandika in my free time niache ati kisa mtu anataka nikalime, umepotea sana dogo...
afu hujui hata huduma kama mpesa mnayotumia ni mtu alikaa akaandika software, hizo kadi za mabasi mnayotaka kuanza kutumia ni mtu alikaa akaandika software, yani unawaza kilimo tu, tulime wote haya mengine afanye nani? mzungu?
Kwan wewe ulinunua milioni ngapi..Kuniambia Nokia Lumia 520 inauzwa 450,000 inahitaji ujasiri. Au mimi ndio nimeshindwa kusoma vizuri hapo?
Yes, mi pia, naipenda sana alcatel yangu, its very unique!!! Hijazagaa kama mi tecno, lumia, sumsung na huawei zao
Kuniambia Nokia Lumia 520 inauzwa 450,000 inahitaji ujasiri. Au mimi ndio nimeshindwa kusoma vizuri hapo?