Mrs u toohahahahahahah lol
Klorokwin hujambo kakaaeke...
Nime kumiss je.......:thinking:
Mrs u too
Nipo gado kamili? vp wewe? halaf mbona ulipotea ghafla kama rais wa Libya. Nani alikuficha? explain (2 marks)
Kweli nimesibitisha Lupango hakuna redio, yaani niliandamana na mgomo wa chakula nikaweka na bado habari haukuzipata?mi salama salumini kabisa sasa..
Dahhh nilikuwa mahabusu, wakanihamisha lupango,
wakanifungia kitambo hukunileta hata uji.... real disappointed on you .. I thought we are friends??.. :A S-cry:
Kweli nimesibitisha Lupango hakuna redio, yaani niliandamana na mgomo wa chakula nikaweka na bado habari haukuzipata?
Hebu pitia hili sredi takatifu la maandamano.
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/231457-msamaha-wa-ban.html
Walikuweka jela la wanawake watupu?
ooohhhhhhh dahhhhh asante sana
hadi kula uliacha mwehhhhhhh ..
Thank you hunny bunny .... yeah jela wanawake watupu :bump2: