Kila mmoja wetu anajua nini anachohitaji kwenye mahusiano na kinapokosekana ama kuwepo zaidi ya alichotaka anaweza akavunja mahusiano hayo.
Kuna watu wanaopenda kuwa na 'YES' kinda man/woman. . Kuna wanaopenda kuwa na watu ambao watawachallenge. .Kuna wanaopenda kuwa na watu ambao ni far too generous and UNselfish. . Kuna wanaopenda wapole/wachangamfu/wenye uwezo wa kuwagombeza ba kuwarekebisha/wabaowaogopa and so on, na yakikosekana hayo wako radhi kuvunja mahusiano.
Kwahiyo sio ajabu kusikia mtu akisema "Niliachana na fulani kwasababu ni mpole kupitiliza, she/he was too quite, hana msimamo binafsi, mkali sana" n.k
Hizo hazina ubishi wala sidhani kama inaweza ikamfanya mwenzi wako mpya ajisikie vibaya ukimwambia kitu kama "my Ex was too violent" maana itamweleza kwamba yeye uko nae kwasababu anaweza kucontrol hasira na mkono wake. . .yani ana tofauti 'NZURI' na yule uliyemuacha.
Sasa je kumwambia current partner kua ulimwacha/achana na Ex kwasababu he/she was TOO GOOD FOR YOU kukoje?
Hiyo yaweza kumfanya mtu ajisikie vizuri kuwa na wewe?Au ni jambo la kawaida tu lisilohitaji kuangaliwa kiundani?
I think it's possible.
A good girl (caring, loving, kind, generous, mwenye malengo na nia njema etc) is too good for a player who is just looking out for himself sexually.
That to me has to do more with compatibility than 'being too good' for someone.
Who are you too good for?
How so Neiwa?
Hhahaha. .This one dude.
Ni jambo la kawaida tu lisilohitaji kuangaliwa kiundani.Kila mmoja wetu anajua nini anachohitaji kwenye mahusiano na kinapokosekana ama kuwepo zaidi ya alichotaka anaweza akavunja mahusiano hayo.
Kuna watu wanaopenda kuwa na 'YES' kinda man/woman. . Kuna wanaopenda kuwa na watu ambao watawachallenge. .Kuna wanaopenda kuwa na watu ambao ni far too generous and UNselfish. . Kuna wanaopenda wapole/wachangamfu/wenye uwezo wa kuwagombeza ba kuwarekebisha/wabaowaogopa and so on, na yakikosekana hayo wako radhi kuvunja mahusiano.
Kwahiyo sio ajabu kusikia mtu akisema "Niliachana na fulani kwasababu ni mpole kupitiliza, she/he was too quite, hana msimamo binafsi, mkali sana" n.k
Hizo hazina ubishi wala sidhani kama inaweza ikamfanya mwenzi wako mpya ajisikie vibaya ukimwambia kitu kama "my Ex was too violent" maana itamweleza kwamba yeye uko nae kwasababu anaweza kucontrol hasira na mkono wake. . .yani ana tofauti 'NZURI' na yule uliyemuacha.
Sasa je kumwambia current partner kua ulimwacha/achana na Ex kwasababu he/she was TOO GOOD FOR YOU kukoje?
Hiyo yaweza kumfanya mtu ajisikie vizuri kuwa na wewe?Au ni jambo la kawaida tu lisilohitaji kuangaliwa kiundani?
I don't think it's lack of self-esteem/belief or dignity that makes them realise that, but rather the difference in plans, interests, goals, sacrifises and compromises when it comes to relationships. It's just another way of saying "I'm not being FAIR to you!!"One has to have belief and enough dignity to know that they are the best as the way they are. And if it happens one notices is not good enough then it is ones responsibility to make sure they are the best. That way no one in their circle is too good for them.
HELL to the NO.
This other dude. . .he is all that and he knows it, basi tabu tupu.