Tony Blair asikitishwa na ushindi wa Trump

Umesema mm simjui Trump vizuri nimeanza kumfuatilia trump juzi tu.
Sawa hilo unaweza kuwa sahihi lakini swali linakuja je hao walio mchagua Trump kwenye Kura za maoni nao hawamjui Trump vizuri?
Na kama Trump ni mwizi inamaana hao waliokuwa wanamchagua Trump hawakuwaona watu wengine ambao sio wezi.
Wako wengi wanamjua na wana tabia kama zake katika mambo fulani fulani. Na pia wako wengi ambao hawajui mambo kwa jumla. Remember, watu hawakumtaka Obama kwa sababu si mzungu. Lakini kuficha hilo walifurahi kusikia mtu akitumia pesa nyingi kudai kwamba Obama alizaliwa Kenya. Na Trump ndiyo huyo mtu aliyetamba ametumia pesa zake kujaribu kulichimbua hilo. Mpaka leo kuna asilimia kubwa ya republicans (kama robo yao hivi) wanaamini kwamba alizaliwa Kenya, pamoja na ushahidi wote. Hilo lieleweke vipi? Ni wale wale wasioridhika na kuongozwa na mtu ambaye si mzungu. Na wengine kwa hakika wanasema hivyo kabisa. Kwa sababu hiyo basi, wengi wanaona kwamba Democratic party kimejiweka karibu mno na watu ambao wao wanaona hawastahili.
 
Kwa ushindi wa Trump katika Kura za maoni ninaweza kusema amepiga hatua kwa 50% ktk safari yake.

Wewe ambae upo mareakani unaweza kutuambi ni kitu gani chenye nguvu kilicho mfikisha hapo.
Unapoangalia kinyang'anyiro hichi ukumbuke kwamba kuna makundi matatu ya wapiga kura. Wengi wanakadiria kwamba yana idadi sawa: Republicans, Democrats na independents. Trump amepata kura nyingi kwenye kundi hilo la kwanza. Kukubalika kwake ambako sasa ndiyo kunavuka 50% baada ya wengine kujitoa, kuko chini sana katika makundi mengine hayo mawili.
Kuanzia miaka ya 60, Republican party kimekucha chama chenye mwelekeo wa kibaguzi sana. Hata kama hawayasemi mambo mengine, lakini unaona kabisa kwamba hatua zozote zikionekana kuwapa nafuu masikini au watu wasio wazungu, basi wanatahayari vibaya sana. Na yeyote anayepayuka na sera zinazoonekana kupinga hatua hizo anakubalika zaidi huko kusini. Hiyo inaitwa southern strategy.
Nisikuchoshe sana. Trump amepata ushindi kwa sababu (1) anapinga establishment na mambo yanavyoendeshwa na serikali (checki Sanders pia ameibuka kwa sababu hiyo hiyo katika Democratic party). (2) Trump aliongoza jitihada za kujaribu kumdiscredit black president, ambaye wabaguzi wengi hawamtaki. (3) Trump is riding a wave of republican campaigns to za kuharibu kila kitu ambacho Obama amejaribu kukifanya.
Lakini come general elections, ile faction ndogo ya wabaguzi haiwezi kumfikisha mbali Trump.
 
Unapoangalia kinyang'anyiro hichi ukumbuke kwamba kuna makundi matatu ya wapiga kura. Wengi wanakadiria kwamba yana idadi sawa: Republicans, Democrats na independents. Trump amepata kura nyingi kwenye kundi hilo la kwanza. Kukubalika kwake ambako sasa ndiyo kunavuka 50% baada ya wengine kujitoa, kuko chini sana katika makundi mengine hayo mawili.
Kuanzia miaka ya 60, Republican party kimekucha chama chenye mwelekeo wa kibaguzi sana. Hata kama hawayasemi mambo mengine, lakini unaona kabisa kwamba hatua zozote zikionekana kuwapa nafuu masikini au watu wasio wazungu, basi wanatahayari vibaya sana. Na yeyote anayepayuka na sera zinazoonekana kupinga hatua hizo anakubalika zaidi huko kusini. Hiyo inaitwa southern strategy.
Nisikuchoshe sana. Trump amepata ushindi kwa sababu (1) anapinga establishment na mambo yanavyoendeshwa na serikali (checki Sanders pia ameibuka kwa sababu hiyo hiyo katika Democratic party). (2) Trump aliongoza jitihada za kujaribu kumdiscredit black president, ambaye wabaguzi wengi hawamtaki. (3) Trump is riding a wave of republican campaigns to za kuharibu kila kitu ambacho Obama amejaribu kukifanya.
Lakini come general elections, ile faction ndogo ya wabaguzi haiwezi kumfikisha mbali Trump.
Ila mnapo sema Trump hawezi kishinda urais mnakosea sana kwasababu bado ni mapema mno. Muache muda useme
Na mkae mjue Trump naye naakili Na anafikiria Na Yale yote anayo zungumza sio kwamba anakulupuka.
huwa anakaa Na timu yake ya kampeni wanazungumza.
Na maneno yote wanakuwa wameyapima Na kuyapigia mahesabu jinsi ya utekelezaji.
 
Ila mnapo sema Trump hawezi kishinda urais mnakosea sana kwasababu bado ni mapema mno. Muache muda useme
Na mkae mjue Trump naye naakili Na anafikiria Na Yale yote anayo zungumza sio kwamba anakulupuka.
huwa anakaa Na timu yake ya kampeni wanazungumza.
Na maneno yote wanakuwa wameyapima Na kuyapigia mahesabu jinsi ya utekelezaji.
Usahihi wa tunayosema sote utaonekana Novemba. Sasa hivi wanaosema Trump atashinda na wanaosema atashindwa tunatabiri tu. Kama nilivyosema awali, natabiri nikiwa nimeangalia historia ya Trump, historia ya uchaguzi Marekani, mwelekeo na maoni sasa hivi, nk. Timu yake ni ya watu ambao wako kame yeye. Wabaguzi kama yeye tu. Tunajua siku zote kwamba nao pia wanaweza kuwa na makosa. Romney alikuwa na wataalamu ambao mpaka dakika ya mwisho walikuwa wakitangaza kwamba Romney atashinda. They were in utter shock siku ya uchaguzi.
 
MARIKANI ANATAKIWA RAIS ATAKAYELIINUA JINA LA BWANA ,PRO-LIFE ,UNT-GAY NA PRO-ISRAEL.HUYU NI TRUMP
 
Back
Top Bottom