Tolu wa dunia...............

Tolu wa dunia...............

Pomole

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2011
Posts
257
Reaction score
8
Kuna wakati huyu best alikuwa anashikiria rekodi ya kuwa tolu wa dunia.Sio ngongoti wa kuchonga.Hapo yuko na familia yake!!Hongera zake
WorldsTallestMan.jpg
 
Kwanza inaelekea wakati anatimiza tendo la jamii na mke wake inabidi ye apige magoti mke wake asimamae.
 
sidani kama ndivo alivyo, hamuoni kama kaunga kwenye magoti hapo, hiyo miguu haijanyooka kama origino, kuna kitu kaunga kwa chini
 
Sidani kama kaunga kitu,mara nyingi wakiwa warefu hivi wanakuwa na udhaifu fulani ktk viungo na balansi,ndo maana wengine kama hawa wanakuwa na mkongojo kutafuta balansi.Nawasilisha

imagesCASJSMMT.jpg

imagesw.jpg
images.jpg
 
jamani huyo mtu kavaa ile tunaita ngongoti, ukiangalia kutoka kwenye kiuno kuja chini ni kurefu sana kuliko kutoka kiunoni kuja juu
 
huyo ngongoti jamani angalia suruali yake hapo kwenye level ya goti
 
Anayeshikilia record ya dunia kwa urefu siyo huyo. Huoni kama amesimama kwenye mbao (aka ngongoti)???
 
Huyu ni ngongoti angalia nguo yake aliyovaa na angalia picha kwenye ukuta utagundua ki2
 
Huyo mturuki anafahamika na alichukua rekodi hiyo juzijuzi tuYasome vizuri maelezo ya awali!!!Nanukuu.........."Kuna wakati huyu best alikuwa anashikiria rekodi ya kuwa tolu wa dunia".mwisho wa kunukuu!!!
 
Back
Top Bottom