mwenyew yuko likizo wa mkoa jiran na dar mi pwani
mwenyew yuko likizo wa mkoa jiran na dar mi pwani
Mi ningependekeza wakuu wa mikoa wachaguliwe kwa kura na wananchi kama wanavyofanya america or uk... leo hii ingekua ni hivyo ungekuta mikoa mingine inaongozwa na watu wa upinzani na hiyo ingesaidia kupunguza rushwa na kero za wananchi. Unakuta mtu mkoa flani kavurunda rais anamuhamisha mkoa mwingine...
Ameshushwa sana toka v8 mpaka gx
Mimi sioni ubaya ni relocation tu. Mbona Lukuvi alikuwa Waziri akapelekwa ukuu wa mkoa Dodoma then Dar na sasa karudia uwaziri. Mi nafikiri hivi vyeo vya kupewa vya kisiasa havina mantiki yoyote ile zaidi ya kugawana ulaji. Maana hata productivity ya hawa viongozi haionekani.Mwantumu Mahiza kuwa kaimu
mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Mimi sioni ubaya ni relocation tu. Mbona Lukuvi alikuwa Waziri akapelekwa ukuu wa mkoa Dodoma then Dar na sasa karudia uwaziri. Mi nafikiri hivi vyeo vya kupewa vya kisiasa havina mantiki yoyote ile zaidi ya kugawana ulaji.