1. wakati miswaada hii ya kijambazi inapelekwa bungeni kwa dharula upinzani ulitolewa nje ya bunge kwa amri ya maccm ili yaitikie ndiooooooooooo na mkulu akiwa wa kwanza kwa sauti ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!na akifurahia wapinzani kuondolewa bungeni
2. bila chadema ujambazi huu usingejulikana...lisu alifanya kazi kubwa sana na maccm yakamweka kolokoloni.......
3.kitendo cha kumwagiza kiongozi wa bunge awatimue bungeni wazalendo wetu upinzani naiona dalili ya kupitisha miswaada mingine ya kijambazi kwa ndioooooooooo nyingi...na hii ni hatar kwa taifa
4. ikiwa maccm ndio yaliitikia ndioooooooo na kubeza wazalendo upinzani leo anaelekeza kutimuliwa bungeni wapinzan ,,Je tuendeleee kuamini wezi maccm pekeyao bungeni kujadili sheria hizi??????
ni hatari sana kwa nchi kubakiza maccm pekeyao bungeni
2. bila chadema ujambazi huu usingejulikana...lisu alifanya kazi kubwa sana na maccm yakamweka kolokoloni.......
3.kitendo cha kumwagiza kiongozi wa bunge awatimue bungeni wazalendo wetu upinzani naiona dalili ya kupitisha miswaada mingine ya kijambazi kwa ndioooooooooo nyingi...na hii ni hatar kwa taifa
4. ikiwa maccm ndio yaliitikia ndioooooooo na kubeza wazalendo upinzani leo anaelekeza kutimuliwa bungeni wapinzan ,,Je tuendeleee kuamini wezi maccm pekeyao bungeni kujadili sheria hizi??????
ni hatari sana kwa nchi kubakiza maccm pekeyao bungeni