Toka nianze kuingia JF

Lol, Reverend sasa hao kondoo unaenda kuwachinjia migombani? Kumbuka kuendesha sala ya toba kabla hujawachinja

Unamuweka kwenye Mkeka au za kichina china?

Aisee napenda kula Vibudu! Ngoja nikuanzishie Thread
 
asante sana mwaya for the wishes ..
we wish you and your family wonderful x-mass....
and we want to wish u all the best and blessings for 2011....

AD
 
Ahsante sana Matty kwa kuelezea ukweli wa kutoka moyoni,Heri ya XMASS NA Mwaka mpya pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom