Toka mtandoani : umri wa Michael Jackson

Toka mtandoani : umri wa Michael Jackson

Tumelipokea neno lako mtumishi
Well said!
Mungu ni yote juu ya yote
Kiburi cha mwanadamu kinazimika siku ile aliyoipanga Bwana
Laiti tungelijua yatupasayo......
 
Ndio.. Alikuwa anafanya kazi sana halafu mapumziko kidogo hivyo akawa anatumia sana dawa za kupunguza uchovu na kumpa nguvu... Unakumbuka Daktari wake alikamatwa na kushitakiwa?
Kipindi hicho nilikua bado mdogo mdogo..halafu hata simu sikuwa nayo.
Ndio maana nimeuliza
 
Mr miller umejenga hoja vizuri na hasa wito ulioutoa mwishoni.
Binafsi niliwahi kusoma makala moja iliyoongelea ugonjwa wa MJ WA ngozi. Ilielezwa kuwa ugonjwa huo alipandikizwa, maana kila uchunguzi uliofanyika ulionesha kuwa hakuna records za ugonjwa huo kwa baba yake mzazi au ukoo wake, ingawa ugonjwa wenyewe huenea kwa kurithi.
Kuhusu story zingine.....nyingi huibuka baada ya watu maarufu kuondoka, wapo ambao hufanya hivyo wakijua wanapotosha lakini mtu pekee mwenye kuthibitisha taarifa hizo hayupo hivyo kuiachia jamii utata.
Wapo wanaoandika kwa kirejea story zisizothibitishwa toka vijiweni bila kufanya uchunguzi.
Na wapo wanaokoleza ukweli uliopo ili kivutia attention ya wasomaji.

Na hii dhana ya kuwa MTU hawezi kuwa maarufu au kufikia mafanikio ya juu bila kuwa masonic worshipper pamoja na vifo vya watu masbuhuri kutokea kabla hatujajiandaa kuwapoteza hivyo kuamini FreeMasons wamemwondoa ni janga kubwa hasa kwa jamii zet changa
 
Mr miller umejenga hoja vizuri na hasa wito ulioutoa mwishoni.
Binafsi niliwahi kusoma makala moja iliyoongelea ugonjwa wa MJ WA ngozi. Ilielezwa kuwa ugonjwa huo alipandikizwa, maana kila uchunguzi uliofanyika ulionesha kuwa hakuna records za ugonjwa huo kwa baba yake mzazi au ukoo wake, ingawa ugonjwa wenyewe huenea kwa kurithi.
Kuhusu story zingine.....nyingi huibuka baada ya watu maarufu kuondoka, wapo ambao hufanya hivyo wakijua wanapotosha lakini mtu pekee mwenye kuthibitisha taarifa hizo hayupo hivyo kuiachia jamii utata.
Wapo wanaoandika kwa kirejea story zisizothibitishwa toka vijiweni bila kufanya uchunguzi.
Na wapo wanaokoleza ukweli uliopo ili kivutia attention ya wasomaji.

Na hii dhana ya kuwa MTU hawezi kuwa maarufu au kufikia mafanikio ya juu bila kuwa masonic worshipper pamoja na vifo vya watu masbuhuri kutokea kabla hatujajiandaa kuwapoteza hivyo kuamini FreeMasons wamemwondoa ni janga kubwa hasa kwa jamii zet changa
Mimi naona umaarufu Ni juhudi ya Mtu binafsi
Yaani ukakae tu halafu uchawi ukupe umaarufu inakuja kweli!?
 
Kwahiyo tufuate lipi la kwako au la mtoa mada
Nafikiri mleta mada angeweka source taarifa alizoweka kuhusu MJ otherwise hazitakuwa na tofauti na zile za tuma ujumbe huu kwa watu kumi na wewe upokee muujiza wako.
 
Nafikiri mleta mada angeweka source taarifa alizoweka kuhusu MJ otherwise hazitakuwa na tofauti na zile za tuma ujumbe huu kwa watu kumi na wewe upokee muujiza wako.
Nimeinakili kutoka group la Whatsapp. Simjui mwandishi but its worthy sharing. Japo ningefurahi kumjua mwandishi ili nimpe credits zake.

*Muwe mnasoma kitu na kukielewa kabla hamjachangia jamani*
 
Nimeangalia na kufanya utafiti hii habari sio kweli
Mode of the story

Uhai na uzima tulionao ni zawadi kutoka kwa Mungu. Sio kwamba tunastahili kuliko wengine, hapana. Sio kwamba tumejitunza kuliko wengine. Hapana. Ni kwa neema tu. Hata hatma ya maisha yetu vipo mikononi mwa MUNGU mwenyewe.

Ishi kwa upendo na kila mtu. Ukipata madaraka usiyatumie kunyanyasa wengine. Damu zao zitakulilia daima na siku ya mwisho utaulizwa.

Hapa duniani hatuna mji udumuo bali sote twautafuta ule ujao. Ishi kwa amani na watu wote. Maandiko yanasema mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi (Ayubu 14:1). Tumuombe Mungu atuepushe na kiburi, atufundishe kuzihesabu siku zetu na kutujalia mwisho mwema
 
Mshana Jr ujumbe uliakusudia utufikie mimi binafsi nimeuelewa so sina haja yakujua hii makala inaukweli kiasi gani
hilo ndio kubwa na la muhimu
Uhai na uzima tulionao ni zawadi kutoka kwa Mungu. Sio kwamba tunastahili kuliko wengine, hapana. Sio kwamba tumejitunza kuliko wengine. Hapana. Ni kwa neema tu. Hata hatma ya maisha yetu vipo mikononi mwa MUNGU mwenyewe.

Ishi kwa upendo na kila mtu. Ukipata madaraka usiyatumie kunyanyasa wengine. Damu zao zitakulilia daima na siku ya mwisho utaulizwa.

Hapa duniani hatuna mji udumuo bali sote twautafuta ule ujao. Ishi kwa amani na watu wote. Maandiko yanasema mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi (Ayubu 14:1). Tumuombe Mungu atuepushe na kiburi, atufundishe kuzihesabu siku zetu na kutujalia mwisho mwema
 
Back
Top Bottom