Toka kwa mkongwe mfundaji

Mungu wangu,nikifanyiwa Hivi haki ya Mungu sichepuki,kutafuta nini huko,sema maneno ni ya kila MTU vitendo kwa wachache
 
MIMI SIO MFUNDAJI ILA NAKULETEA TOKA KWA MFUNDAJI NGULI NIKIAMINI VIMWANA WA JF WATANUFAIKA NA CHOCHOTE.

VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??

MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.
Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.

AFU TAYAARISHA BAG MAALUM LA KUSAFIRIA.
Ndani yke utaeka nguo zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afu
Utaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.

UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.
We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit kuonesha tofaut
Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile

UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.
muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.

UCKU WA WAKE.
Utatumia pipi nzur kumpa romance ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.
Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.

UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.
Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.

MNA PUMZIKA KITANDANI.
Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah..

MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.
Utambusu utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama.
SAFARI NJEMA HONEY


Haya sasa ushindwe wewe tu....

Kwa madada wenye degree mh sidhani
Mimi sasa natafuta mdada ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi, tufunge ndoa Inshalah maana wana adabu sana
Wenye degree nimewanyooshea mikono wanazingua balaa
 
Hayawezi usiku kucha linawaza utaliachia kiasi gani hayo mambo ni mlima Kilimanjaro kwa wazazi wetu waliyaweza haya
 
Back
Top Bottom