Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,961
- 3,695
MIMI SIO MFUNDAJI ILA NAKULETEA TOKA KWA MFUNDAJI NGULI NIKIAMINI VIMWANA WA JF WATANUFAIKA NA CHOCHOTE.
VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??
MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.
Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.
AFU TAYAARISHA BAG
MAALUM LA KUSAFIRIA.
Ndani yke utaeka nguo

zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afu
Utaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.
UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.
We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr
yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit 





kuonesha tofaut
Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile
UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.
muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.
UCKU WA WAKE.
Utatumia pipi nzur kumpa romance
ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.
Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.
UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.
Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.
MNA PUMZIKA KITANDANI.
Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah.
.
MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.
Utambusu
utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama.
SAFARI NJEMA HONEY




Haya sasa ushindwe wewe tu....
VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??
MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.
AFU TAYAARISHA BAG
MAALUM LA KUSAFIRIA.Ndani yke utaeka nguo


zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afuUtaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.
UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr
yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit 





kuonesha tofaut Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile

UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.
UCKU WA WAKE.Utatumia pipi nzur kumpa romance
ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.
UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.
MNA PUMZIKA KITANDANI.Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah.
.
MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.Utambusu

utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama. SAFARI NJEMA HONEY





Haya sasa ushindwe wewe tu....


