toilet paper!!!

eRRy

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
1,125
204
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!
 
Huyu m-bush mi c mshangai coz toilet pepa si sio utamadun we2.
Sisi tumekua tukitumia maji.
 
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!

sasa mshamba nani hapa? aliyetoka bush au anayeishi mjini? Kwanini toilet paper zisikae restroom?
 
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!


Hha ahaha ahaha ahahaa a a a a, duh bado tuna mwendo mrefu. Niwekee hiyo toilet paper nitaila kesho, lol.

Hivi toilet paper kwa Kiswahili ni nini vile?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom