eRRy
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 1,125
- 204
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!