MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 880
Miaka hio tohara ndo inaanza kupata umaarufu ukiwa umetahiri unajiona ndo kidume pekee, basi na mimi nikaona isiwe shida na mimi nikafanyiwe tohara ili nitambe mtaani kwetu, kwakuwa walikuwa wanastahili mtaani kwetu kwa sh500 nikawa nawamendea wazazi wangu ili wakienda shambani niwaibie hela.
Siku moja sijui walijisaha wakaacha hela ndo ikawa chance kwangu kuwaibia ili nitimize hitaji la moyo wangu, nikawa nimefika kwa mganga huyo tayari kabisa kwa tohara ilisikika nakufaa... Ndo sauti yangu ikilalamika kwa uchungu ""Mungu wangu"" sauti ya mganga ikishangaa kipande cha nyama alichokikata na mimi nilikuwa nimejishikilia huku damu zikinitoka kwa wingi na kilio juu.
Alinipa huduma ya kwanza nikaondoka nikichechemea, kwanza alipokuwa ananitahiri alivuta ngozi ya juu ndipo akapitisha kisu, hivi ninavyozungumza uume wangu hauna kichwa kama mlivyo ninyi, sasa niko kama jike dume.
Siku moja sijui walijisaha wakaacha hela ndo ikawa chance kwangu kuwaibia ili nitimize hitaji la moyo wangu, nikawa nimefika kwa mganga huyo tayari kabisa kwa tohara ilisikika nakufaa... Ndo sauti yangu ikilalamika kwa uchungu ""Mungu wangu"" sauti ya mganga ikishangaa kipande cha nyama alichokikata na mimi nilikuwa nimejishikilia huku damu zikinitoka kwa wingi na kilio juu.
Alinipa huduma ya kwanza nikaondoka nikichechemea, kwanza alipokuwa ananitahiri alivuta ngozi ya juu ndipo akapitisha kisu, hivi ninavyozungumza uume wangu hauna kichwa kama mlivyo ninyi, sasa niko kama jike dume.