Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
sasa niko kama jike dume.
Kwa nini umejiita Jike Dume?
sasa niko kama jike dume.
sababu sijiamini na siwezi koga mbele ya wanaume
Labda muhehe au mtu wa zambia au muhaya au jaluo kwa magoviLini kwenu tohara ilianza kuwa maarufu?
Mhhh Yule aliyeapizwa na Mbunge ? Ndo yule aliyesema yeye rais WA wananchi ila freeman ni rais wa sirikal?Ni bora kuliko kubaki na govi kama mshikaji aliyejiapiza kenya
Walinzi mna uzi wenu humu JF unaitwa 'JF usiku wa manane'....kutaneni huko please!

Hakuna mwanamke asiemtambua mwanaume govinda.halafu huyu jamaa kanifumbua kitu kuna jmaaa alikuwa hapendi kabisa nione kitu chake.yaani ngoja nitaleta mrejesho kumbe kuna vitu havitazamiki eeh .ngoja ngoja
kitaaWE nawe umekulia wap?