Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
karibu kabisaa anytimeOoh yeah,..naomba niwe mpenzi msindikizaji shem,.![]()
Nikisema nilikumiss nitakuwa nimekosea!?Simple minds.....
Cheenkyuuukaribu kabisaa anytime

POA LOVE SHEMCheenkyuuu![]()
Nipo sana...Nikisema nilikumiss nitakuwa nimekosea!?
hahahha...aliyeimba haya mashairi now days ni muimbaji wa ngonjera za harusi ..kama issa matonaMifumo ya kubebana,rushwa, huyu mtoto wa shangazi,shemeji yangu,Mama wa Rafiki yangu.
Tanzania maisha kama maigizo ya filamu,hekali mia zakwangu zilizobaki hamsini nitam'gawia Mtoto wa dada yangu.
mamaee hao Watoto waethiopia ...waweza shinda unawapigia chaputa kutwa nzima ..."" ila huyo hostess wa tz..nimzee aisee kama Bi chau "... !Simple minds.....
Acha ubaguzi.mamaee hao Watoto waethiopia ...waweza shinda unawapigia chaputa kutwa nzima ..."" ila huyo hostess wa tz..nimzee aisee kama Bi chau "... !
ubaguzi upi sasa"". kwani kama nimzee kweli nisiseme ""..Acha ubaguzi.
Hahaha huo ni uhalisia na si mashairi tu bwana.hahahha...aliyeimba haya mashairi now days ni muimbaji wa ngonjera za harusi ..kama issa matona
Naaam nikweli "" ..kabisaaHahaha huo ni uhalisia na si mashairi tu bwana.
Athari ya dhiki ni chungu mithili ya jehanamu,dhiki hataki imuangamize.
Yaani tabasamu nzito ukiongeza na Sura ulivyokuwa nzito lazima upate Zito Jr.Weavings hizoHiyo picha ya tatu... Hizo nywele hadi mgongoni ndo ugonjwa wangu huo dah!!!