hahahaaaaa sky una kitu unataka kusema lakini mezea tu maadamu mimi nimeshakijuaKatika hii kesi Kackie Collins uchumi wake ni mzuri sana, anaishi Los Angeles lakini sifahamu kama anamjua Mange Kimambi.
Sasa Dada sky Zee kama yule kama siyo hela atanipa kingine?!!!tuwe realistic!!Kuwa ukiona wanandoa wameachana sana kiumri angalia hali zao za uchumi
Kwa hapa Bongo mfano halisi waweza kuwa wa Marehem Mzee Mengi na Jacqueline huo waweza kuwa mfano hai kabisa na mada hii au vipi ?!
Kumbe viben10, wameanzia ulaya
Yumeiga kwa kasi ya kimondo!Sie tumeiga kama kawaida yetu
Yumeiga kwa kasi ya kimondo!
kumbe ndo hivyo lakini si mnapenda mali kuliko kumpenda mhusikaKuwa ukiona wanandoa wameachana sana kiumri angalia hali zao za uchumi
Maslah ama, malengo yakitimia hamna haja tena!Harafu inatushinda kumudu hizi ndoa wengi wao wanaishia kufa waume zao
Lakin kwa Nyalandu ni tofauti kidogo, hawana tofauti ya miaka kumi na wote ni ndoa yao ya kwanza.Ila tatizo kwa bongo kufanya uchunguzi huwa ni ngumu kupata data zilizo sahihi mana wengi wao wanaoana wakiwa tayar wanauchumi mzur hasa wanaume means kwamba mwanamke anakuwa kapendea hela kama ilivyo kwa mzee wetu na kwa nyarandu pia