Mimi mchumba wangu nimenizidi miaka miwili,tena he feels so lucky to have me and i am luck to have him.Mwanzo alinidanganya tunalingana kumbe alidhani nitamkataa nikijua nimemzidi
Tupo kwenye michakato ya ndo
Yeye anasoma masters mimi bachelor
Mbona unataka kujitia TB na majimama kama hayo? mda unao soma utapata size yako na usipende kufadhiliwa sana na wanawake utakua mtumwa wa ngono kwakupenda misaada.
inaelekea mtu akikufanyia favour wewe kwako unatafsiri ni upendo,achana nao wote waambie wewe bado unasoma huna mpango wa kuoa hivi karibuni....kama hawatajitoa wenyewe basi ujue wana yao hao!
marioo
Mke mwema mtu hupewa na Mungu!
Soma kijana acha kuumiza kichwa bure!