Tofauti ya NGO na Foundation ni nini?

Tofauti ya NGO na Foundation ni nini?

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,429
Reaction score
108,580
Kama heading inavyojieleza naomba kuelimishwa tofauti ya NGO na Foundation na zinasajiliwa wapi? Na je mawakili wanaandaa Memart zake? Gharama ya chini inaanzia bei gani? Na kama kuna anayejuwa gharama za kusajili anijuze pia.
 
Zinasajiriwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na watoto, kupitia idara ya Asasi zisizo za kiserikali, ingia kwenye tovuti yao wameweka kila kitu, kianzia utaratibu, fomu, mahitaji na gharama zote
 
Kama heading inavyojieleza naomba kuelimishwa tofauti ya NGO na Foundation na zinasajiliwa wapi? Na je mawakili wanaandaa Memart zake? Gharama ya chini inaanzia bei gani? Na kama kuna anayejuwa gharama za kusajili anijuze pia.
Huu Uzi haukutendewa haku
 
Back
Top Bottom