Tofauti ya neno jiuzuru na staafu

Tofauti ya neno jiuzuru na staafu

mbona hiyo iko wazi mkuu kustaafu nikufikia mwisho wa uongozi ktk ngazi flani ktkna na kipindi kilichopangwa kuwakimefikia tamati.Na hali ya kujiuzulu ni kuamua kuasitisha au kuachia madaraka au uongozi flani kabla ya wakati uliopangwa wauongozi kutimia kwa sababu zakiutendaji ilikupisha uongozi mwingine uchukue hatamu.kama lowasa alijiuzuru hakustahfu
 
Kustaafu ni kwa mujibu wa sheria ya kikomo cha umri unapofika unasepa.
Kujiudhuru ni kusepa muda wowote unaojisikia, haihusiki na umri kabisa.
 
Back
Top Bottom