Wakuu nawasalimu,
Leo tupeane tofauti zilizoko kati ya mke/mume na Mchepuko. Tofauti hizi zitokane zaidi na uzoefu binafsi, kwa kiingereza tunasema (personal experience)
Naanza na mimi mwenyewe.
Tofauti kubwa ipo kwenye kufanya mapenzi. Wanawake wenye ndoa zao wana tabia ya kutoa tendo la ndoa kama liturujia fulani hivi, mara hataki, mara mpaka utimize kigezo fulani.
Ilimradi shiida tu. Nadhani kwa sababu anajua yeye ni mke wa ndoa, mmezaa naye watoto na pia mmechuma wote mali mliyonayo kwa hiyo hana wasiwasi anajua mume wake yupo na ataendelea kuwepo hata kama asipompa papuchi vizuri.
Mchepuko yeye anafahamu fika kuwa mwanaume katua kwake kwa sababu ya uhitaji wa papuchi. Hivyo wanatoaga anytime hata usiku wa manane. tena bila hiyana.
Hii ni tofauti kubwa sana ninayoiona mimi kati ya mke na mchepuko.
Hebu tupe uzoefu wako. Tafadhali (be positive) na usikashifu mtu.
Leo tupeane tofauti zilizoko kati ya mke/mume na Mchepuko. Tofauti hizi zitokane zaidi na uzoefu binafsi, kwa kiingereza tunasema (personal experience)
Naanza na mimi mwenyewe.
Tofauti kubwa ipo kwenye kufanya mapenzi. Wanawake wenye ndoa zao wana tabia ya kutoa tendo la ndoa kama liturujia fulani hivi, mara hataki, mara mpaka utimize kigezo fulani.
Ilimradi shiida tu. Nadhani kwa sababu anajua yeye ni mke wa ndoa, mmezaa naye watoto na pia mmechuma wote mali mliyonayo kwa hiyo hana wasiwasi anajua mume wake yupo na ataendelea kuwepo hata kama asipompa papuchi vizuri.
Mchepuko yeye anafahamu fika kuwa mwanaume katua kwake kwa sababu ya uhitaji wa papuchi. Hivyo wanatoaga anytime hata usiku wa manane. tena bila hiyana.
Hii ni tofauti kubwa sana ninayoiona mimi kati ya mke na mchepuko.
Hebu tupe uzoefu wako. Tafadhali (be positive) na usikashifu mtu.