Tofauti ya miaka ya kusoma sheria katika vyuo

Natamani kujua kwanini Vyuo vingine degree ni miaka minne na vyuo vingine degree ni miaka mitatu
 
Tulipo anza miaka ya 60/70 kozi nyingi za chuo zilikuwa miaka 3. Kwenye 1980s kukaingia kidudu mtu kukaja system ya miaka 4- nakumbuka SUA walibadilisha course nyingi kwenda miaka 4. Ilipokuja swala la mikopo kama mikopo uhalisia ukatuingia na course nyingi ziliangaliwa kwa jicho la miaka 3 kama miundo mbinu inaruhusu. UDSM na SAUT nafikiri wao wamekwama kwa miaka 4 na wengine kama Mzumbe ni 3. Labda watu wa Law School wanaweza kutuambia kama kuna tofauti kubwa kati ya wale wa miaka 3 na wale wa miaka 4. Nadhani kama program imepangwa vizuri hakutakuwa na tofauti.
 
Back
Top Bottom