Baada ya JK kuingia Ikulu mara moja tulimjua Riz 1 ni nani na kabla jogoo halijawika tukamjua na mama Salima Kikwete! pia kuna kile kidogo nimekisahau jina kilimtukana hata mzee Lowasa.
Imekuwa tofauti kabisa kwa Magufuli! mama Janeth anaonekana kwa bahati nasibu hakuna WAMA wala UWT. Jesca magufuli nimemjua jana baada ya sakata la vilaza, nadhani hawa watoto wa Magufuli mzee ataondoka Ikulu bila wao kujulikana aisee!
Kweli kila familia na malezi yake..
Imekuwa tofauti kabisa kwa Magufuli! mama Janeth anaonekana kwa bahati nasibu hakuna WAMA wala UWT. Jesca magufuli nimemjua jana baada ya sakata la vilaza, nadhani hawa watoto wa Magufuli mzee ataondoka Ikulu bila wao kujulikana aisee!
Kweli kila familia na malezi yake..