Uchaguzi 2020 Tofauti ya Edward Lowassa wa 2015 na Tundu Lissu wa 2020

Kabla ya uchaguzi tayari Tundu Lisu ana 50% ya kura za Watanzania waliojiandikisha. Kimsingi Tundu Lissu ni Rais Mteule anayesubiri kuapishwa. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayempa kura Magufuli. Ameua uchumi na ameua binadamu
CCM BADO INAMTAJI WA WAJINGA KIBAO
 
..Lissu angekuwa ni bondia basi style yake ingekuwa ni " switch hitter ."

..Yaani ni bondia anayeweza kupigana kwa mtindo wa "orthordox" na mtindo wa "southpaw."

..Orthordox ni bondia anayepigana kwa kutanguliza mkono wa kulia, na southpaw ni kushoto.

..kwa kawaida mabondia huwa ni orthodox au southpaw, ni nadra bondia kuweza kupigana kwa staili mchanganyiko.

..Lissu anaweza siasa za hoja, na ni mzuri pia ktk siasa za vijembe.
Mtanzania pekee aliyeweza kuiamsha Tanzania kutoka kwenye nusu-kaputi ya kisiasa!
Sikutegemea kuona siasa ya Tanzania inaweza kuchangamka ndani ya usiku mmoja tu.
Mchukie au Mpende lazima ukubali kwamba Tundu Lissu ana kitu cha pekee.
 
Usilikosea heshima neno genius. Hakuna genius anaye rudia kulamba matapishi yake kama wowowowoo!
 
Hahahahaha subiri octoba
Mkuu October tume ya uchaguzi itamtangaza Magu kuwa mshindi Kama ilivyofanya 2015 na Kama tume ya uchaguzi ya Malawi ilivyomtangaza APM ambaye Sasa anaongoza chama cha upinzani baada ya nguvu ya umma kumuweka kando.Mimi bado naamini watu tutatiwa Chachu na motisha na survival ya Lissu ambayo imetufanya watu wengi tuamini kwamba bila Mungu kupenda risasi haiui,bila Mungu kupenda hata corona haiui.sprit hiyo ndiyo itatuongoza kumng'oa yule aliyetangazwa na kubadiri kabisa hizi siasa uchwara zinazofanywa na CCM Tanzania.Mungu watie nguvu watanzania waiangalie nchi yao badala ya kumuangalia huyu mharibifu magu
 
Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.

Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.

Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.

Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.

Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.

Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.

Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Kiasi kwamba mgombea wa CCM tayari keshavurugwa, leo huko barabarani akielekea Dodoma hajaeleweka maneno aliyotamka, eti anamwuliza mwananchi we unataka upanuliwe wapi?😀
 
Kiasi kwamba mgombea wa CCM tayari keshavurugwa, leo huko barabarani akielekea Dodoma hajaeleweka maneno aliyotamka, eti anamwuliza mwananchi we unataka upanuliwe wapi?😀
Aangalie tu asije akamfuata BWM kwa kisingizio arrest sijui wakati ni pressure ya uchaguzi
 
..Lissu anaweza siasa za hoja, na ni mzuri pia ktk siasa za vijembe.

Hapo ndipo TL anapo wapa watu msisimko na kumsikiliza kwa makini... Sio muoga na anajua kutetea hoja.

Lakini TL akumbuke ktk kampeni sio mahakamani yaani kwenda kuulizana na kujibishana...

Anatakiwa awe na hoja za maendeleo, atete vizuri sera ya chama chake, awape elimu ya kutosha raia khs mabadiliko...

Kuelezea mabaya ya ccm na ufisadi, Katiba mpya, tume huru hayo aweke mwisho... Watu wanashauku ya kujua nn atakifanya akiwa rais na kitamsaidia raia na taifa kwa ujumla.
 
Ngoja nisubiri analysis za baada ya uchaguzi maana ndo huwa real,hizi za kabla huwa mzuka na mahaba zaidi.
HAPO UMENENA!

Uko sawa kabisa, lakini upo uwezekano na hata ukisema leo, walio amini hawawezi kukubali maneno mazuri utakayo toa.
 
Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.

Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.

Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.

Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.

Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.

Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.

Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Khaa, eti Lissu ni genius. Lissu ni bwege zaidi ya Bwege wa Kilwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom