kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
CCM BADO INAMTAJI WA WAJINGA KIBAOKabla ya uchaguzi tayari Tundu Lisu ana 50% ya kura za Watanzania waliojiandikisha. Kimsingi Tundu Lissu ni Rais Mteule anayesubiri kuapishwa. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayempa kura Magufuli. Ameua uchumi na ameua binadamu