Vitu vingine vidogo vidogo kama hivi unaingia Google tu,hupqti shida ya kuuliza uliza !!Habar. Naomba kueleweshwa kinaga ubaga kuhusu Kaz na utofauti uliopo kati ya NVR na DVR
Kuna wengine hadi vitendo ndo huelewa. Na wengine kumbuka,hawana ujuzi,ila waebahatika kupata labda kazi,na anahitaji kujua maelezo ya kutoaVitu vingine vidogo vidogo kama hivi unaingia Google tu,hupqti shida ya kuuliza uliza !!
Kazi ni moja ila NVR unatumia Utp Cable na kama Haina POE unatumia adaptor kwenye camera na DVR unatumia coaxial cable pamoja na power supply.Habar. Naomba kueleweshwa kinaga ubaga kuhusu Kaz na utofauti uliopo kati ya NVR na DVR