Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Kumekuwa na mkanganyiko kati ya hizo kada mbili. Ubishi unakuja kwenye swali:" Je, mhitimu wa diploma nae ni daktari?". Nimecheck maandishi ya Ofisi ya Rais Tamisemi na pia yale ya Benjamin Mkapa Foundation na nilichogundua.
1. Daktari hutumika kuwaita wale wenye degree ya MD na nyingine kama hiyo
2. Tabibu ndiyo kiswahili cha Clinical Officer na
3. Tabibu Msaidizi ni Clinical assistant
Zamani hakukuwa na huu mkanganyiko kila mtu alijua nafasi yake na sisi laymen tulijua nani ni nani. Sikuwahi kumsikia yeyote akimuita mzee wangu daktari, siku zote ameitwa tabibu. Sasa naona kama Tanzania tunajenga utamaduni mpya. Ni vizuri tujitafakari.
1. Daktari hutumika kuwaita wale wenye degree ya MD na nyingine kama hiyo
2. Tabibu ndiyo kiswahili cha Clinical Officer na
3. Tabibu Msaidizi ni Clinical assistant
Zamani hakukuwa na huu mkanganyiko kila mtu alijua nafasi yake na sisi laymen tulijua nani ni nani. Sikuwahi kumsikia yeyote akimuita mzee wangu daktari, siku zote ameitwa tabibu. Sasa naona kama Tanzania tunajenga utamaduni mpya. Ni vizuri tujitafakari.