Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Platinum Post.Pole sana mkuu...
to the best of my knowledge, rafiki zangu wote wenye heshima, upeo na uwezo walikua kwa JIDE... na pia nafahamu vichecche, mabange (clouds ni home of the drug addicts and alcoholics, and it is evidence based), complementarity mongers na watoto wa shule/chuo... Images dont lie
Huwezi kuwa na pesa, na akili na unaejua burudani ukazama kwenye ukumbi wa mhadhara kuangalia watu wakiFOKAFOKA, unless una akili upside-down!!
Tukija kwenye suala la mapato nadhani hata mtoto wa miaka mitano anajua tofauti... HIPHOP HAILIPI
MwanaFA the smart guy has accepted to be used in a silly battle of the mnyonyaji na mnyonywaji, shame on him na sasa promo imeisha, waliokunja wamekunja, he has himself to carry all the shame and pieces
Thread Closed!!