Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa michango yenu. Hebu fikirieni sayansi zetu zilivyodumaa zikibaki ni wazo la mtu yule yule mwanzilishi bila wataalamu wengine kuunganisha utaalamu wao ili bidhaa iwe bora zaidi.
1. Mtungi-Mtungi wa kuwekea maji ya kunywa aliye utengeneza mpaka leo haujaongezewa utaalamu na makundi mengine, umebeki vile vile!
2. Kinu-Kinu cha kutwangia mpaka leo ni cha vile vile hakuna tecknolojia iliyo ongezeka.
3. Chungu-Chungu cha kupikia hakija ongezewa utaalamu wowote!
Wanao pinga ukweli huu siwashangai kwani wanakamilisha utafiti wangu. Walete mifano inayotuonnyesha kuwa sisi waafrika tunashirikishana kiakili.
1. Mtungi-Mtungi wa kuwekea maji ya kunywa aliye utengeneza mpaka leo haujaongezewa utaalamu na makundi mengine, umebeki vile vile!
2. Kinu-Kinu cha kutwangia mpaka leo ni cha vile vile hakuna tecknolojia iliyo ongezeka.
3. Chungu-Chungu cha kupikia hakija ongezewa utaalamu wowote!
Wanao pinga ukweli huu siwashangai kwani wanakamilisha utafiti wangu. Walete mifano inayotuonnyesha kuwa sisi waafrika tunashirikishana kiakili.