Wakenya ni wajinga, leo wabunge wa Jubilei wamesema watapiga kura ya kutokuwa na imani na jaji mkuu! Yaani nimecheka sana.........!!!!!!Hivi ndivyo mchora katuni wa DW Said Michael anavyoangazia tofauti kati ya viongozi wa Kenya na Tanzania katika kutii maagizo ya mahakama.
Chanzo: DW kiswahili
Kenya kiongozi huandaliwa lakini nchi ya viwanda huokotwa kutoka kokote.
Pamoja mkuuHatar sana mkuu
Yaani maana yake ni kuwa wale wanaheshimu mamlaka husika ila hawa hawajali kituBalaa tupu
Usiwe too general, CCM viongozi huandaliwa lkn Chadema ndo huokoteza okotezaKenya kiongozi huandaliwa lakini nchi ya viwanda huokotwa kutoka kokote.
Kenyata:Hatukubali maamuzi ya watu milioni 40 yafutwe na watu sita
Chadema wanasubiri CCM iokote halafu ndio wachukue makapi!Usiwe too general, CCM viongozi huandaliwa lkn Chadema ndo huokoteza okoteza
Huyu aliyeko aliandaliwa wapi?Usiwe too general, CCM viongozi huandaliwa lkn Chadema ndo huokoteza okoteza