Mi naona kulala ni kitendo cha kuuweka mwili sehemu bapa na kusinzia ni kitendo cha kupoteza fahamu kwa muda bila kupata mshtuko. Na inategemea kipi kinaweza kuanza, mfano mwingine anaweza kusinzia kwenye kochi akaenda kulala kitandani na akasinzia. Mwingine anaweza kulala kwanza na akawa anaongea baadae akasinzia