Tofauti kati ya bunge la Tanzania na mabunge mengine ya jumuiya ya Afrika Mashariki ni hii

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,915
bunge la tanzania linautofauti mkubwa sana na mabunge mengine ya africa mashariki kama ifutavyo.
1. kupongezana- bunge la tanzania ndo pekee linaongoza kwa kupongezana mabunge mengine wao ni kuchapa kazi tu
2. wageni- sijawahi ona bunge la kenya au uganda au rwanda likitembelewa kila kukicha na wageni, nashindwa kuelewa kwa nini la tanzania wageni hawaishi.
3.upotezaji wa muda- bunge la tanzania ndo linaongoza nazani hii ni duniani kwa kupoteza muda kwa mambo yafutayo.
- kusoma matangazo.
- kutambulisha wageni
- kupongezana
hivi vyote mabunge mengine havipo.

4. maswala yasiyo na tija kama bunge sport club, mabunge yaliyo sereasi na maswala ya nchi huwe wakuta eti wanacheza mpira
 
Umenena mwana, wengine (wageni) kazi yao kukaa getini na kuomba fedha za posho kama tulivyojulishwa na Waziri Mkuu Pinda!! Sijui ndio kazi ya Posho hiyo..??
 
Swafi sana ungeza na haya,ni bunge pekee ambalo wabunge wa chama tawala ni wabinafsi wasiojali maswala muhimu yanayohusu taifa kwakuyapigia kura ya kuyakataa,ni bunge pekee ambalo wabunge wa chama tawala wengi ni vilaza shule hamna maji fuata mkumbo.
 
bunge la tanzania linautofauti mkubwa sana na mabunge mengine ya africa mashariki kama ifutavyo.
1. kupongezana- bunge la tanzania ndo pekee linaongoza kwa kupongezana mabunge mengine wao ni kuchapa kazi tu
2. wageni- sijawahi ona bunge la kenya au uganda au rwanda likitembelewa kila kukicha na wageni, nashindwa kuelewa kwa nini la tanzania wageni hawaishi.
3.upotezaji wa muda- bunge la tanzania ndo linaongoza nazani hii ni duniani kwa kupoteza muda kwa mambo yafutayo.
- kusoma matangazo.
- kutambulisha wageni
- kupongezana
hivi vyote mabunge mengine havipo.

4. maswala yasiyo na tija kama bunge sport club, mabunge yaliyo sereasi na maswala ya nchi huwe wakuta eti wanacheza mpira
Pia Bunge letu Linaongoza kwa mabung e yot e ulimwenguni kwa kuwa:_1. WABUNG EWENGI WANAOTOROKA VIKAO VYA BUNGE2. WABUNGE WENGI KUSINZIA “LIVE” UKUMBINI3. WABUNGE KUWA NA UTANGULIZI MREFU KULIKO HOJA WANAYOITOA (Kwa mfano:- Mheshimiwa Spika, Kwanza nikishukuru Chama Changu kwa ushindi mkubwa sana wa kishindo yulioupata kwenye uchaguzi ulipita! Hii inaashiria kuwa xxxx bado trunaungwa mkono; pili nimpongeze mheshimiwa Rais kwa ushindi wake…., tatu niwapongeze wananchi wa jimbo langu la xxx kwa uchaguzi wa Amani naushindi walionipa, nawaahidi sitawaangusha, mwisho nikupel pole kwa kufiwa na mama yako majuzi, tunajua ulikuwa unampenda sana, Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo naomba nirudi kwenye hoja. Kwa kweli Bajeti iliyowasilishwa na Mheshimiwa Waziri wa Fedha inakidhi matarajio ya watanzania. Kweny ekasoro tunaomba serikali izirekebishe, Nunga Mkono Bajeti hii kwa asilimia mia moja!! Ahasant esana Mheshimiwa Spika” 4. NI BUNGE PEKEE LINALOONGOZA KWA KUUNG AMKONO KIL A HOJA INAYOTOLEWA NA SERIKALI
 
Pia linaongoza kwa kusifia kila jawabu/Pamoja na jawabu nzuri ya muheshimiwa so and so blah blah.........
 
Ni bunge pekee ambalo wabunge wake ni wanafiki wanaanzishi mada wanakomaa nayo weee na kupata sapoti ya wananchi ghafla bin vuu wanaingia mitini,vichwa chini aibu tupu njaa tu inawasumbua.
 
Umenena mwana, wengine (wageni) kazi yao kukaa getini na kuomba fedha za posho kama tulivyojulishwa na Waziri Mkuu Pinda!! Sijui ndio kazi ya Posho hiyo..??

Mkuu Sezinga lakini hii ni dharau ya mtoto wa mkulima !
 
Ni Bunge pekee ambalo spika wake ameteuliwa kutokana na jinsia yake. Na yupo tu kwa maslahi ya chama.
 
Ni bunge linaloongoza kuwa na wabunge wengi wa viti maalum, ambao kazi yao kubwa ni kuunga mkono hoja zote za serikali bila hata kuzisoma.
 
Msingi mkuu ni katiba yenu. Naweza kuitofautisha na mabunge mengi kwa hili ambalo lipowazi katika katiba yenu.

Ni bunge ambalo wabunge wanawakilisha maslahi ya vyama vyao na si wapiga kura waliowachagua.
 
bunge la tanzania linautofauti mkubwa sana na mabunge mengine ya africa mashariki kama ifutavyo.
1. kupongezana- bunge la tanzania ndo pekee linaongoza kwa kupongezana mabunge mengine wao ni kuchapa kazi tu
2. wageni- sijawahi ona bunge la kenya au uganda au rwanda likitembelewa kila kukicha na wageni, nashindwa kuelewa kwa nini la tanzania wageni hawaishi.
3.upotezaji wa muda- bunge la tanzania ndo linaongoza nazani hii ni duniani kwa kupoteza muda kwa mambo yafutayo.
- kusoma matangazo.
- kutambulisha wageni
- kupongezana

hivi vyote mabunge mengine havipo.

4. maswala yasiyo na tija kama bunge sport club, mabunge yaliyo sereasi na maswala ya nchi huwe wakuta eti wanacheza mpira
umesahau (kwenye red): Matangazo ya kupoteza modem, vitana, lipsticks na karamu!
 
Kwakuongezea tena ni kua baada ya vikao vya bunge kumalizika wabunge wanaishia Dar es salaam kula raha na kujirusha badala ya kwenda majimboni mwao kujumuika na kushirikiana na wananchi waliowachagua!
 
Kuuza chai wakati wa session na wengi wao ni IPP ( International Pumba Point), wavivu wa kufikiri na wasiopenda kukosolewa
 
Ni bunge pekee duniani ambalo husikiliza rais anataka nini! Na ni bunge pekee duniani ambalo huiwakilisha serikali badala ya wananchi!!
 
Siwapendi siwataki wabunge wa viti maalum, wanatuletea hasara tu,na sijui wanamuwakilisha nani bungeni.
 
ishu katiba imezeeka,leo hii MB unaambiwa qualify zake ajue soma na kuandika,we wafikiri atachangia nin,bora ata O-lev kidogo,angalia cku ile yakuapa mb,anatetemeka kusoma kiswahil
 
Back
Top Bottom