Tofauti kati ya ambulance aliyotoa Nape na Lema kwenye majimbo yao inahitaji mjadala mpana

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Pichani hapa chini ni tofauti kati ya magari ya kubebea wagonjwa, moja landcruiser limetolewa na Mbunge wa jimbo la Mtama, ndugu Nape Mnauye huku la chini likitolewa na Mbunge wa Arusha na ndugu Godbless Lema.

kwanza, gari lililotolewa na Nape lina ubora wa hali ya juu pia hakuona haja ya kuweka matangazo kuwa yeye ndiye mtoaji, kalikabidhi gari hilo kwa halmashauri ya Lindi na limewekwa chapa ya hospitali..yaani ni mali ya hospitali. Upande wa pili msaada umekaa 'kijanja' 'kijanja' yaani kaweka majina yake ubavuni na ni dhahiri akikosa ubunge na gari anaondoka nalo.

Ni dhahiri matumizi ya pesa za mfuko huko Arusha si sawia.


18581881_129541424271471_1969022025094625289_n.jpg


18557498_129541404271473_2288278131720749439_n.jpg
 
Pichani hapa chini ni tofauti kati ya magari ya kubebea wagonjwa, moja landcruiser limetolewa na Mbunge wa jimbo la Mtama, ndugu Nape Mnauye huku la chini likitolewa na Mbunge wa Arusha na ndugu Godbless Lema.

kwanza, gari lililotolewa na Nape lina ubora wa hali ya juu pia hakuona haja ya kuweka matangazo kuwa yeye ndiye mtoaji, kalikabidhi gari hilo kwa halmashauri ya Lindi na limewekwa chapa ya hospitali..yaani ni mali ya hospitali. Upande wa pili msaada umekaa 'kijanja' 'kijanja' yaani kaweka majina yake ubavuni na ni dhahiri akikosa ubunge na gari anaondoka nalo.


18581881_129541424271471_1969022025094625289_n.jpg


18557498_129541404271473_2288278131720749439_n.jpg
Uliyotowa wewe iko wapi?Usijadili majitoleo ya wenzako.Elezea wewe umesaidiaje jimbo lako
 
Hivi hii noah ya Lema bado inatembea? Sikuiona siku ya ajali wala siku ya msiba.
 
Wakudadavua Lema afute jina lake halafu akabidhi hiyo ambulance aone kama haitapokelewa!!
 
Huu ni ujinga wa hari ya juu Wakudadavuwa inaonesha ni kiasi gani akiri yako ilivyo fupi shida yetu ni watoto wake zetu mama zetu wawahishwe na wazitumie gari zipo tunajadiri nini?/mnaishushia heshima Jf kwa threads za kijinga
Usimlaumu sana kwa kuleta thread za namna hiyo, coz ameambiwa aongeze thread za namna hiyo ili akidhi vigezo vya kupewa buku seven yake ya leo.

So hata kama hana cha kuandika ni lazima atafute chochote ili aondoke na buku saba yake.

Njaa mbaya sana.
 
Pichani hapa chini ni tofauti kati ya magari ya kubebea wagonjwa, moja landcruiser limetolewa na Mbunge wa jimbo la Mtama, ndugu Nape Mnauye huku la chini likitolewa na Mbunge wa Arusha na ndugu Godbless Lema.

kwanza, gari lililotolewa na Nape lina ubora wa hali ya juu pia hakuona haja ya kuweka matangazo kuwa yeye ndiye mtoaji, kalikabidhi gari hilo kwa halmashauri ya Lindi na limewekwa chapa ya hospitali..yaani ni mali ya hospitali. Upande wa pili msaada umekaa 'kijanja' 'kijanja' yaani kaweka majina yake ubavuni na ni dhahiri akikosa ubunge na gari anaondoka nalo.


18581881_129541424271471_1969022025094625289_n.jpg


18557498_129541404271473_2288278131720749439_n.jpg
Mkuu acha kujitoa ufahamu nafikiri suala LA jiografia na miundo mbinu ya Arusha hukulikumbuka.
 
Usimlaumu sana kwa kuleta thread za namna hiyo, coz ameambiwa aongeze thread za namna hiyo ili akidhi vigezo vya kupewa buku seven yake ya leo.

So hata kama hana cha kuandika ni lazima atafute chochote ili aondoke na buku saba yake.

Njaa mbaya sana.
Wanalipwa buku 3 siku hizi mkuu
 
kwanza, gari lililotolewa na Nape lina ubora wa hali ya juu pia hakuona haja ya kuweka matangazo kuwa yeye ndiye mtoaji, kalikabidhi gari hilo kwa halmashauri ya Lindi na limewekwa chapa ya hospitali..yaani ni mali ya hospitali. Upande wa pili msaada umekaa 'kijanja' 'kijanja' yaani kaweka majina yake ubavuni na ni dhahiri akikosa ubunge na gari anaondoka nalo.


18581881_129541424271471_1969022025094625289_n.jpg

Unataka kufananisha kitu gani ndugu?, Lema katoa fedha zake mfukoni, Nnape kapewa gari na UN, umeona hiyo nembo ya blue kwenye gari na Nnape?
 
Kijiografia Land cruiser kwa Lindi ni muafaka kwa sababu maeneo makubwa ya Ntama ni vijijini na barabara si rafiki. Na Hiace kwa Arusha mjini ni sawa kwani sehemu kubwa ni mji na barabara ni za lami kutoka vituoni kwenda hospitals

Pia usilinganishe wana CCM wanaopewa na Rais kwa fedha za serikali na hawa ma commander eanaojitolea kutoka mfukoni. Tumeona juzi wabunge wanaowaporomoshea matusi wapinzani wakizawadiwa ambulance's
 
Back
Top Bottom