Toa ushauri wako hapa kwa huyu kamanda

Toa ushauri wako hapa kwa huyu kamanda

JOGOO JINA

Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
44
Reaction score
3
ImageUploadedByJamiiForums1364708700.542969.jpg
hivi unahisi kitu gani hapa?
 
Hakuna tatizo lolote hapo, mambo ni kuelewana
 
Anaelekea nyumbani njiani amekutana na aidha mshikaji wake ama polisi mwenzake aliye katika mavazi ya kiraia wanateta jambo la faragha.
 
Yuko vema Kamanda hata suruali imemkaa vizuri
 
Anaelekea nyumbani njiani amekutana na aidha mshikaji wake ama polisi mwenzake aliye katika mavazi ya kiraia wanateta jambo la faragha.

ni kweli ni polic mwenzake,ila walivyokaa ndo utata!
 
jamaa anataka kuidhalilisha serikali.
 
Amekuja kurikamata rijambazi sugu aroooo
 
Amekuja kurikamata rijambazi sugu aroooo
 
"Wahalifu siyo kondoo" hapo hakamatwi mtu!!!! hiyo ni faragha.
 
View attachment 88668
hivi unahisi kitu gani hapa?

Askari nao ni binadamu kama binadamu wengine, kuliwa tunda ni kitu cha kawaida tu...

Yuko vema Kamanda hata suruali imemkaa vizuri

yuko vizuri

jamaa anataka kuidhalilisha serikali.

nimependa askari alivyo uniform imemkaa vizuri na ana mwili mzuri

Pozo a mkaka halijakaa kama mtoa rushwa; labda kama ni ya ngono...

JOGOO JINA
IFWT_brazilian_cop.jpg
 
Back
Top Bottom