1. zombi anapatikana baada ya kiumbe(kisichokuwa zombi) kuwa kimeuwawa na zombi mwingine, anafufuka na kuwa zombi, Vampire anapitaka pale kiumbe kisichokuwa vapire kinapo ng'atwa tu( siolazima ufe).
2. Zombi yanakula nyama wakati Vampire wanakunywa damu.