Toa maoni yako hapa tuwafanyeje waliotaka Rais Samia asikabidhiwe nchi

maramojatu

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,169
1,533
WanaJF,

Yaliyosemwa na retired CDF kuhusu matukio yaliyotokea muda mchache kabla ya Magufuli kufariki miaka 3 iliyopita tumeyasikia.

Baadhi ya matukio ni kikundi fulani kutaka katiba isisimamiwe. Aliyekuwa CDF akakataa

Matukio haya yanasikitisha lakini tukiyanyamazia yanaleta precedence mbaya.

Waliohusika wapo serikalini na wanaishi kwa kodi zetu mpaka leo. Hii ni hatari.

Kama wazalendo tushauri adhabu inayowafaa hao watu sababu hawatakiwi kuwepo kwenye jamii ya waliostaarabika
 
WanaJF,

Yaliyosemwa na retired CDF kuhusu matukio yaliyotokea muda mchache kabla ya Magufuli kufariki miaka 3 iliyopita tumeyasikia.

Baadhi ya matukio ni kikundi fulani kutaka katiba isisimamiwe. Aliyekuwa CDF akakataa

Matukio haya yanasikitisha lakini tukiyanyamazia yanaleta precedence mbaya.

Waliohusika wapo serikalini na wanaishi kwa kodi zetu mpaka leo. Hii ni hatari.

Kama wazalendo tushauri adhabu inayowafaa hao watu sababu hawatakiwi kuwepo kwenye jamii ya waliostaarabika
Ushauri wenu hauto fanyiwa kazi, why? Hawa watu wanawajua na wamenyamaza na kuendelea nao unadhani unadhan watasikiliza ushaur wowote ule?
 
Ushauri kwani wamelijua hilo leo,,,hili limejulikana nje sasa hivi ila wao wenyewe wanajua muda na maisha yakaendelea
 
WanaJF,

Yaliyosemwa na retired CDF kuhusu matukio yaliyotokea muda mchache kabla ya Magufuli kufariki miaka 3 iliyopita tumeyasikia.

Baadhi ya matukio ni kikundi fulani kutaka katiba isisimamiwe. Aliyekuwa CDF akakataa

Matukio haya yanasikitisha lakini tukiyanyamazia yanaleta precedence mbaya.

Waliohusika wapo serikalini na wanaishi kwa kodi zetu mpaka leo. Hii ni hatari.

Kama wazalendo tushauri adhabu inayowafaa hao watu sababu hawatakiwi kuwepo kwenye jamii ya waliostaarabika
Wapongezwe kwa sababu walifuata katiba. Hivi watanzania huwa mnataka katiba ifuatwe au mapenzi ya mtu au ifuatwe tu pale mnapoona nyie inafaa na isifuatwe pale ambapo mahaba yenu hayataki?
Haya mambo ya kutaka katiba ivunjwe, yana impact zake mbaya.
Japokuwa si mkubali sana mama, ila nilifurahi kuona katiba imezingatiwa japo mwenyewe alisema katiba haina umuhimu japo ndio imemweka madarakani.
 
WanaJF,

Yaliyosemwa na retired CDF kuhusu matukio yaliyotokea muda mchache kabla ya Magufuli kufariki miaka 3 iliyopita tumeyasikia.

Baadhi ya matukio ni kikundi fulani kutaka katiba isisimamiwe. Aliyekuwa CDF akakataa

Matukio haya yanasikitisha lakini tukiyanyamazia yanaleta precedence mbaya.

Waliohusika wapo serikalini na wanaishi kwa kodi zetu mpaka leo. Hii ni hatari.

Kama wazalendo tushauri adhabu inayowafaa hao watu sababu hawatakiwi kuwepo kwenye jamii ya waliostaarabika
Raisi mwenyewe haitambui katiba anasema ni kakijitabu tu, kwanini wenzake wasio itambua awahukum!? Tuache double standard
 
Acha Mambo yako wewe, fikra mbadala ni muhimu! Unataka watu wote wafikirie kama unavyotaka wewe?
Fikra mbadala ya kuonyesha nia waziwazi ya kuvunja katiba? Na wenyewe waliapa kwa hiyo hiyo katiba. Hapana aisee lazima wawajibike. Sidhani kama CDF alizungumza tu kwa ajili ya kufurahisha genge. Alitaka wananchi tuchukue hatua
 
Walicchofanywa kinatosha si unamuona Diblo kawekewa msaidizi pasina uhitaji , hao walikuwa wanapima upepo kwani jumuiya za kimataifa zisingekubali litokee Hilo tusijione tuko peke yetu kuna Sheria/makubaliano ya kimataifa yanapaswa kufuatwa katika uongozi.
 
Fikra mbadala ya kuonyesha nia waziwazi ya kuvunja katiba? Na wenyewe waliapa kwa hiyo hiyo katiba. Hapana aisee lazima wawajibike. Sidhani kama CDF alizungumza tu kwa ajili ya kufurahisha genge. Alitaka wananchi tuchukue hatua
Katiba gani unayoizungumzia wewe, hii Nchi suala la Katiba lipo Kinadharia zaidi, Serikali ingekuwa inafuata Katiba CCM wasingekuwepo madarakani
 
Back
Top Bottom