Toa jambo unaloona ni fact

Toa jambo unaloona ni fact

hiyo yenye bold sidhani kama ni true otherwise wangekuwa wanachelewa kupona sana

Hiyo ni fact coz kabla hujaenda jando kuna sheria ambazo unapatiwa ukiwa kitaa sasa kutokuvaa chupi ukiwa huko ni moja wapo. Kama utakubaliana na mimi sawa?

Sasa iweje mtu aanze kuulizia chupi tena akiwa amefika huko kwa ngaliba wakati anajua huko hazivaliwi?

Nadhani utakuwa umenisoma na huu ndiyo ukweli
 
Unauliza VODKA POLAND

Unauliza Ulanzi Iringa au zabibu Dodoma wewe

Unauliza ndoa za Mashoga Uingereza atii...
 
Unauliza Usodoma Segerea gerezani wewe

Unauliza njia ya watumwa Kigoma ujiji au Tunguli bagamoyo

Unauliza bolingo DRC wewe

Unauliza Magovi Ugiriki wewe
 
Jamaa anauliza Wagema mikoa ya Pwani

Mwingine anauliza Biblia Hotelini au Kondomu gesti

mi pia najiulizaga sana kwa nini hotelini unakuta bibilia tu ila hukuti vitabu vya dini zingine, cjui ni kwa kuwa hoteli nyingi ni za wakristo ama la
 
Angalia katika mtandao utaona sababu,lakini pia hata hoteli ikimilikiwa na Muumini wa Dini ya Kiislam yeye mmiliki anaweza weka chochote atakacho. Mfano kuna multi milionea mmoja in terms of pounds ni mtu wa swala tano toka Pakistan katika hoteli zake ameweka Biblia na nyingine ameweka vitabu fulani ambavyo vina ramani ya hilo eneo la mji.
 
Taulo inachafuka unapojifunga au ivaa kuelekea bafuni
 
Back
Top Bottom