To you Tz Developers

To you Tz Developers

Mkuu hii ofcoz itasaidia kufilter tu maneno. Lakini nlivyomuelewa jamaa anataka iwe na uwezo wa kutambua yapi ni matusi, etc.. The best way mm nnayoiona ni kutumia neural networks (A.I) coz hata kwa kutumia php tunaweza kutengeneza neural networks zitakazotambua kama neno ni tusi au.

Nmesuggest neural networks kwa sababu maneno mengine ni matusi sawa lakini unakuta limeandikwa sio kwa nia ya kutukana. Mfano labda mtu anaandika quotes au anaandika mtandaoni report ya maneno yaliosemwa na mtu fln. So hapo hizo neural networks tutazitrain kuangalia kwanza neno kama ni tusi, pili iangalie neno limetumiwaje......

Kama tukitumia raw php na database, mfano kwenye table ya 'words' kukawa na column ya 'type' ambayo itachukua values za kuonyesha aina ya neno kama ni la kawaida au ni tusi. Hii itasaidia tu kukataza moja kwa moja matumizi ya hayo maneno yalio na values zinazoonesha ni tusi lkn system itashindwa kutambua neno limetumika katika muktadha upi

Kwenye hizo neural networks na recomend kutumia php. Japokua watu wanasema php isnt good for A.I lkn kwa hii project naona php itasaidia sana coz kuna matumizi ya database, and according to my experience php is good for database interaction. Kama vp tunaweza kutumia Python.

Kama mpo tayari tunaweza kufungua hii project github

Bringing an AK47 to a stick fight. That's one way to guarantee an unsuccessful project. You'll be pressed to find 10000 dirty words in Swahili however you mutate them. This is a simple as the solution suggested earlier, a dictionary, hamna need ya AI wala neural networks.

Always use the right tool for the job, and follow "KISS principle" - keep it simple, stupid.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bringing an AK47 to a stick fight. That's one way to guarantee an unsuccessful project. You'll be pressed to find 10000 dirty words in Swahili however you mutate them. This is a simple as the solution suggested earlier, a dictionary, hamna need ya AI wala neural networks.

Always use the right tool for the job, and follow "KISS principle" - keep it simple, stupid.


Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mkuu hii project tumeongea saaaaana. Basi ili kuprove maneno yetu, let's do it with actions.

You know what, Linus Torvalds said "Too much words, show me the code".

Sasa tufanye hivi, mm ntaitengeneza hio library kwa solution nlioisuggest hapo juu, na ww tengeneza yako kwa programming methods zako za kawaida. Afu wote tuzifungue github ili wale wanaokuunga mkono ww wakufate huko u collaborate na wachache wanaoamini hii idea yangu nao watanifata kucontribute github. Thn tupeane muda baada ya hapo turudi hapa na kuwaacha watu wafanye judging kuhusu ipi library iko very functional.


Afu unavyosema kutumia "KISS" unajua A.I ni kati ya methods zinazoweza tengeneza very simple solutions to hard problems(kama hujafanya projects za A.I utanibishia lkn wanaofaham vzr watanielewa)

Hio nasema kwa sababu normal programming methods zinadeal sana na linear data(data with linear relationship) ila with help of neural networks it is easy kudeal na both linear and non-linear data.

Tusiongee sana. Kama uko tyr let's start the thing, coding haina siasa za kubishana.

"Too much words, Show me the code" By linus torvalds(Maker of Linux OS)

DEAL??
 
Bringing an AK47 to a stick fight. That's one way to guarantee an unsuccessful project. You'll be pressed to find 10000 dirty words in Swahili however you mutate them. This is a simple as the solution suggested earlier, a dictionary, hamna need ya AI wala neural networks.

Always use the right tool for the job, and follow "KISS principle" - keep it simple, stupid.


Sent using Jamii Forums mobile app
You are wrong man, in building the best product we do not use only the right tool, but the most efficient one. There are many right tools for a task outta there but their degrees of efficiency differ,

If you need to just make a solutio to a task and go, thn you can use any of the right tools, But if you want to make the most efficient solution then get the most efficient tools from those ones available.
 
Bringing an AK47 to a stick fight. That's one way to guarantee an unsuccessful project. You'll be pressed to find 10000 dirty words in Swahili however you mutate them. This is a simple as the solution suggested earlier, a dictionary, hamna need ya AI wala neural networks.

Always use the right tool for the job, and follow "KISS principle" - keep it simple, stupid.


Sent using Jamii Forums mobile app
Simple solutions does not mean that you should be lazy, I know many avoid A.I because of laziness to learn new stuffs and work on new stuffs
 
You are wrong man, in building the best product we do not use only the right tool, but the most efficient one. There are many right tools for a task outta there but their degrees of efficiency differ,

If you need to just make a solutio to a task and go, thn you can use any of the right tools, But if you want to make the most efficient solution then get the most efficient tools from those ones available.

C is efficient in many cases but no one goes around writing everything in C. It's efficient but not always the right tool. Right encompasses barrier of entry, support, cost etc. And the right tool isn't always the most efficient one.
 
Unajua mkuu hii project tumeongea saaaaana. Basi ili kuprove maneno yetu, let's do it with actions.

You know what, Linus Torvalds said "Too much words, show me the code".

Sasa tufanye hivi, mm ntaitengeneza hio library kwa solution nlioisuggest hapo juu, na ww tengeneza yako kwa programming methods zako za kawaida. Afu wote tuzifungue github ili wale wanaokuunga mkono ww wakufate huko u collaborate na wachache wanaoamini hii idea yangu nao watanifata kucontribute github. Thn tupeane muda baada ya hapo turudi hapa na kuwaacha watu wafanye judging kuhusu ipi library iko very functional.


Afu unavyosema kutumia "KISS" unajua A.I ni kati ya methods zinazoweza tengeneza very simple solutions to hard problems(kama hujafanya projects za A.I utanibishia lkn wanaofaham vzr watanielewa)

Hio nasema kwa sababu normal programming methods zinadeal sana na linear data(data with linear relationship) ila with help of neural networks it is easy kudeal na both linear and non-linear data.

Tusiongee sana. Kama uko tyr let's start the thing, coding haina siasa za kubishana.

"Too much words, Show me the code" By linus torvalds(Maker of Linux OS)

DEAL??

Knock yourself out, life is too short to engage in this.

And since you like quotes, "First solve the problem. Then, write the code."- John Johnson. You seem halfway there with your neural networks, now write the code.

PS. It's a kernel, not an OS.
 
Simple solutions does not mean that you should be lazy, I know many avoid A.I because of laziness to learn new stuffs and work on new stuffs
Not learning something because of cool buzzwords doesn't make anyone lazy. It's picking your interest(or battles) wisely, there's a lot in computing for one to be into. Anecdotally, some of the best developers I've worked with are lazy, so it may not be a bad thing after all.
 
Back
Top Bottom