Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
hehehe lakini mimi nimeyamaanisha lol
Good girl!! Lakini hata wale waongo umewasaidia sana!
hehehe lakini mimi nimeyamaanisha lol
Wifi hii kitu ina hati miliki?
thanx ma darling...Dah!hope shem wangu uporoto akipita pande hizi na kusoma hapa atashiba bila kula lol!i like it kaby let me send it as a dedication to swty darling rejao lol!
i appreciate skype,and i miss you.
Good girl!! Lakini hata wale waongo umewasaidia sana!
Unaulizia ili ?
Hakuna copy isiyo na paste !
Unataka kuniambiaje?
Huoni unabeep Pulmonary artery yangu ianze kupush blood kinyumenyume ?
thanx ma darling...
asante kabby..................................!kwa hili shairi uliloniandikia lazima nikutoe dinner ya nyota tano week end hii..........................!
Khaaa! Kumbe sio mimi peke yangu ambae niko kila mahali?thanx father xmas! I'll be anxiously waiting,mimi niko kigoma sasa utakujaje?
Khaaa! Kumbe sio mimi peke yangu ambae niko kila mahali?
I'm just around, reading some posts and replying accordingly. BTW where do you get these nice poems our dear fellow jf member?
We nae uporoto si keshaingia kwenye line yako? Nini wamuongezea limbwata mtoto wa mwanamke mwenzio? Utazidi kumchanganya ati.
Hi wi!
Khaaa! Kumbe sio mimi peke yangu ambae niko kila mahali?
zinatoka kichwani dear wangu natunga!
hehe sitaki kuamini haya maneno yanatoka kinywani mwako chaaaKb na SL ni zaidi ya Vasco da Gama.
Is Okoti P. Bitek your brother? Yan mnarandana ktk suala zima la utunzi wa mashairi.
Hahaha! Umeonae? Tusiposafiri mtakufa njaa, net mtapata wapi?...Kb na SL ni zaidi ya Vasco da Gama.
Maneno hata kwenye keki yapo na yanaliwa. Source: kongosho the great!hehehe wifi yangu una maneno lol