To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Habari zenu wapendwa?

Natumai hamjambo .....

Kuna jambo nataka nijifunze nanyi jioni ya leo

Hebu fikiria tu kuwa umepokea PM yangu muda huu na nimekutongoza kwa aina yoyote ile
Inaweza kuwa tunafahamiana nje ya hapa au hatujawahi kuonana kabisa na nimejaribu kurusha ndoano [mtongozo]

images
images
images


Hebu niambie ni swali gani la kwanza utaniuliza?
Unaweza kuniambia na swali la pili na la tatu pia


Hebu niambie tafadhali nataka nijifunze jambo hapa leo hii

Jioni njema wapendwa .........!!!!!!!!!!!!!!
 
am not a Pm person,mana naona ni uzushi kuchati wee af hatujuani,ukiona tumechati huko basi connection ni kama 3G au HSDPA mnaita cjui...
 
am not a Pm person,mana naona ni uzushi kuchati wee af hatujuani,ukiona tumechati huko basi connection ni kama 3G au HSDPA mnaita cjui...

Hujajibu nilichouliza bibie!
 
Back
Top Bottom