Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Habari zenu wapendwa?
Natumai hamjambo .....
Kuna jambo nataka nijifunze nanyi jioni ya leo
Hebu fikiria tu kuwa umepokea PM yangu muda huu na nimekutongoza kwa aina yoyote ile
Inaweza kuwa tunafahamiana nje ya hapa au hatujawahi kuonana kabisa na nimejaribu kurusha ndoano [mtongozo]
Hebu niambie ni swali gani la kwanza utaniuliza?
Unaweza kuniambia na swali la pili na la tatu pia
Hebu niambie tafadhali nataka nijifunze jambo hapa leo hii
Jioni njema wapendwa .........!!!!!!!!!!!!!!
Natumai hamjambo .....
Kuna jambo nataka nijifunze nanyi jioni ya leo
Hebu fikiria tu kuwa umepokea PM yangu muda huu na nimekutongoza kwa aina yoyote ile
Inaweza kuwa tunafahamiana nje ya hapa au hatujawahi kuonana kabisa na nimejaribu kurusha ndoano [mtongozo]
Hebu niambie ni swali gani la kwanza utaniuliza?
Unaweza kuniambia na swali la pili na la tatu pia
Hebu niambie tafadhali nataka nijifunze jambo hapa leo hii
Jioni njema wapendwa .........!!!!!!!!!!!!!!