Malunkwi
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 339
- 79
tangu lini mtu makini akatoka mpanda?
It depends on how yuo define mtu makini.. Kwani watu makini wanatoka maeneo gani ktk nchi hii mkuu???
tangu lini mtu makini akatoka mpanda?
Hivyo mtu hapati shida za binafsi? Anaumwa ama kuna dharura imemzuia kuwepo leo.
Kha... Waziri mkuu anaulizwa kuhusu soko la himo?? nani huyo kilaza?>?
Wabunge wanafikiria kwa KUTUMIA MAKALIOukianza kutumia jinsia ktoa madaraka matokeo yake unatakiwa kuyapima kwa jinsia.
1+1=11 mnashangaa nini?si jinsia inafanya kazi au mlifikiri ni akili?
Napata hisia kuwa UPINZANI uona ni kupoteza muda na energy kumuuliza PM maswali kutokana na majibu yake ya aina moja kwa maswali yote..!
ivi mtu hanaga majibu zaidi ya ooh serikali ipo kwenye mchakato...... ooh tunalishugulikia...... ooh serikali italifuatilia...! na mambo ya kuita watu wajomba, shangazi na rafiki... wakati watu wako kazini.