Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bunge Hayupo wala msaidizi au aliyeteuliwa (maana J3 alkua Zitto) kwa kweli hawatutendei haki maana hii ni fursa adhimu
Mpaka sasa hakuna swali kuhusu mgomo wa madaktari
Karibu maswali yote spika anasema ni very specific
Maswali ysiyo na mshiko yanaulizwa
...................kwamba bado kipindi hiki kipo......................hakina mshiko kwa watanzania
Waziri Mkuu anasema mimi si waziri wa mambo ya ndani, mimi ni Waziri Mkuu........!!!! ameshindwa kujibu swali la machali.......najiuliza maana ya WAZIRI MKUU...najiuliza pia kwamba siku hizi hakuna VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI?
Ivi uyu madam spika ananini lakini?maswali anaulizwa waziri mkuu yeye anatetea eti swali liko specific. Mama ovyo sana. Mwache ajibu si kajitosa anajua kila kitu..mama ovyo sana
Mara nyigi watu hutumia vitu hivyo kupoteza/kupunguza hisia ya anachokisema. Kama unaona hisia zako zipo juu unaweza kushika kitu na kukiponya ponya huku unajibu au kuongea, hiyo inasaidia kupunguza imotions zako kuonekana dhahiri.
Unakumbuka toa machozi au kukaribia kulia!! Alikua na pete?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.